Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
- Thread starter
- #41
Unajua hata mkenya naemiliki laki tatu huko kenya anaambiwa na wakenya wenzie kwamba laki tatu yako kwa tanzania una gari kali unapata " saaana"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera sana kwa kuwa na idadi Kubwa ya D ambazo ni Nne ( 4 ) huku ukiwa na F moja tu. Una Sifa zote za Kujiunga katika moja ya hivi Vyuo Vikuu vitatu bora kabisa vya Havard nchini Marekani, Oxford nchini Uingereza na Haifa nchini Israel. Uko vyema mno Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app