Ba Bii
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 204
- 160
Nimepata kazi ya "UALIMU" katika hizi ajira ambazo zimetoka juzi. Lakini wakati naomba hii ajira ya Ualimu sikuwa na kazi.
Ila katika kipindi hiki cha kusubiria ajira ya Ualimu nimepata kazi nyingine ya UHASIBU katika moja ya taasisi kubwa sana hapa Tz ya mtu binafsi ambayo pia ni fani yangu na mshahara wake ni 1.5mil.
Nimepewa mkataba wa miezi 6 kwa kuanzia then baadae nitapewa mwingine na mshahara utaongezeka baada ya Probation kuisha.
Je, niache hii kazi niende kufundisha au niendelee na kazi yangu hii ninayofaifanya?
Nisaidie ushauri wenu?
Ila katika kipindi hiki cha kusubiria ajira ya Ualimu nimepata kazi nyingine ya UHASIBU katika moja ya taasisi kubwa sana hapa Tz ya mtu binafsi ambayo pia ni fani yangu na mshahara wake ni 1.5mil.
Nimepewa mkataba wa miezi 6 kwa kuanzia then baadae nitapewa mwingine na mshahara utaongezeka baada ya Probation kuisha.
Je, niache hii kazi niende kufundisha au niendelee na kazi yangu hii ninayofaifanya?
Nisaidie ushauri wenu?