ubnt
Member
- Jul 21, 2020
- 85
- 56
- Thread starter
- #81
asante mkuu kwa ushauri wako, ubarikiweUyo nakushauri mwache aendelee na maisha yake tu ni msaliti, mwanamke mzinzi sio. Wa kuendelea nae ata kwenye ndoa ata chepuka tu chakufanya ongea na mama yake mwambie binti yako kanishinda kafikia steji mpk ya kutoa mimba, alafu pia uyo alikua ashakuacha kama yule bwana aliempa mimba angekua ana mjali baada ya kuona hapati upendo wowote wala care akaamua arudishe majeshi kwaio usifanye maamuzi ya kua nae Muombe mungu akuoneshe mchumba atakaye kufaa