Ushauri wenu: Kuna umuhimu kuridhisha wakwe wa siku hizi?

Kujipendekeza kote ukweni huko lkn bado huna thamani,hapo utakuta hata mama yako mzazi hujawahi kumnunulia hata doti moja ya kanga,ila ukweni ushatoa million 12 na matusi ju.

Mimi ningewachana live na binti yao ningemwambia achague kati yangu mimi au wazazi .
Kuwachana niliwachana aiseee hiyo sikubakisha neno kwakweli na ndo ugomvi ukawa na mke pia.
Na alichagua kubaki tu tulee watoto.
 
Yaani mie kitu cha kwanza kabisa nitakachomwambia wife to be ni fungu linaloenda home kwa bi mkubwa ni hili na hapo hamna mjadala.

Ikitokea mtafaruku kati yako na bi mkubwa na inabidi nichague ujue ni wewe ndio utakae fungasha vilago.....papuchi zipo kibao.

Ni ujinga kwenda kunufaisha watu baki wakati wazazi waliokulea na kukuandaa mpaka huyo mlimbwende amwkubali kuolewa na wewe unawaacha hoi....watu wa namna hiyo siwaelewagi kabisa.
Ipo siku utakutana na papuchi hutasikia la mamako, Wala la mchungaji, time will tell siku utakayokutana na mtakayekuwa na chemistry
 
Ipo siku utakutana na papuchi hutasikia la mamako, Wala la mchungaji, time will tell siku utakayokutana na mtakayekuwa na chemistry

Hamna lolote....upumbavu tuu kusahau ulipotoka.....kitu kimoja u shuld always remember ni kwamba....huyo mke wako kakukubalia kwa sababu wazazi wako ndio walikuandaa.....ata mie nitamuoa huyo mrembo kwa sababu wazazi wake wamemuandaa.

Na ndio maana mie sitakuwa na tatizo lolote mke akiamua kupeleka hela yake yote kwao apeleke but pia asiulize mie nikihudumia upande wangu.
 
mmmh, hatari, ila mlikosea sana hasa wewe, kukubali kujenga ukweni, alafu nimegundua wakwe zako hawana hekima (hasa pale uliposema mkweo alikwambia eti uwasiliane na mzazi wako akuongezee hela kisa ujenzi wa nyumba yao khaa), na usipoonyesha msimamo watakusumbua sana. Ila nakushauri tu samehe na uondoe hicho kinyongo na huwa uchungu, not for them but its for u bcz when u forgive and let go u do it for your own good
 
Hamna lolote....upumbavu tuu kusahau ulipotoka.....kitu kimoja u shuld always remember ni kwamba....huyo mke wako kakukubalia kwa sababu wazazi wako ndio walikuandaa.....ata mie nitamuoa huyo mrembo kwa sababu wazazi wake wamemuandaa.

Na ndio maana mie sitakuwa na tatizo lolote mke akiamua kupeleka hela yake yote kwao apeleke but pia asiulize mie nikihudumia upande wangu.
Wewe wasema tu hapa utatengenezwa tu vizuri uende kibla kiulaini bila nguvu, never say never oooh Kuna walio kuwa wagumu wamenyooka
 
Hela inatafutwa, sahau yaliyopita, jifunze kutokana na makosa! Hao watabaki Kuwa wazazi! Endelea kuwaheshimu Ila uwe na tahadhari! Usimsimange mkeo kwa hayo ulosaidia ukweni!

Hii itamsaidia mkeo ambaye anakupenda we na wazazi pia! Tafuta amani na familia yako! ! Hata hivyo hukulazinishwa kuitoa au kushiriki kusaidia, maana mkeo alikupa ushauri wa busara wa kuhamia kwenye nyumba yako ya Sinza, lakibi akaamua kusaidia! Ushauri alikupa mkeo ulikuwa wa maana Sana, badala ya kumzodoa jitafakalishe! Mil 6 vs saving na kujenga! Huyo mke kwa ushauri huo hakukosea!
 
duh uzi una miaka kama yote......pengine ndoa imeshavunjika tayari.....lakini ukweli ni kwamba hao wake zetu wanaharibu sana kwa kuwa karibu saaaana na wazazi wao na kulazimisha kufanya wanayotaka wazazi wao..hapo ndipo mziki unapoanzia
 
Tatizo umeona mwanamke ukaona huyu ni mke halo halo, bila hata kujiridhisha familia yake ikoje.

Kuoa si habari ya watu wawili tu, ni muunganiko wa familia mbili.
Mkuu sikuwa mshamba wa mapenzi Kama ndo unachomaanisha, nilikuwa nsharuka ruka sanaaa halafu nikakutana na mtoto mbichiii nikakaa, miaka mi5 baadae ndo naoa, hapo Kati mapenzi yalikuwa yanatiririka tu bila matatizo yoyote yani ilikuwa tu lazima nioee mkuu hata bila kujali hali ya kwao! Sisi wawili tuko fresh sana
 
Back
Top Bottom