Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapokea tone la kwanza la mabilioni yakeHuyu mzee kapata shi ngapi asee??
Na yako matone elfu moja, HATARI SANAKapokea tone la kwanza la mabilioni yake
Tutaamini akipewa funguo za lugumiHata mimi nasema hizo ni kiki tu. Kwani kuna utaratibu wa kila mtu awe anatangaza kipato chake? Kila mtu akitangaza hapatatosha.
hahahahh imebidi nicheke tuNi vigumu kwa ngamia kupenye kwenye tundu la sondano. Leo majira ya saa 3:25 asbh, natokea RITA tower kuja mtaa wa jamhuri kufika kwenye makutano Dr. Shika huyu kasimama yuko vilevile haelekei na hayo msemayo amejawa na soni. Nilimwangaliaaa nikajisemea Yajayo yanafurahisha.
Wabongo mbona mnadanganyika kirahisi ndiyo maana ccm inawadanganya kila baada ya miaka mitano kwa kuwapa kanga mnaipgia kura.zile documents ni za uongo? wanahabari wamethibisha pia pesa zilifika BOT nao waongo? kama dr. shika ni muongo; kwanini jeshi lisiwakamate wanahabr wanaomhoji na kurusha taarifa?
aisee nani anasaport hizo drama?
njaa mbaya sanaDr.Shika naomba unikumbuke kwenye kuwadanganya kwako
habari;
(Naomba moderator Uzi huu msiuunganishe na mada zingine)
TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.
DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
KAULI YA B.O.T
Msemaji wa B.O.T kakanusha kwamba Hawana taarifa zozote juu ya ujio wa pesa, na hawajapokea pesa yeyote kama ilivyoelezwa na dr. shika, kwahiyo taarifa za dr. shika zipuuzwe
JE, KUNA HAJA SASA DR.SHIKA ADHIBITIWE?
Ndiyo; Kutokana na sintofahamu na taharuki inayosababishwa na kauli za dr. shika;
ipo haja sasa Jeshi la polisi lipige marufuku kwa chombo chochote cha habari kurusha au kutangaza mahojiano yeyote ya Dr. shika.
=========================
kwahiyo tumwamini shika au msemaji wa B.O.T?wewe unataka uthibitisho gani mtu ametaja vyombo ,bank na ametia documents sasa wewe unataka ushaidi gani tena ushahidi hufutwa kwa vielelezo wewe unatoa vielelezo gani kuwa jamaa dk shika hajapata mpunga
waaandishi waliomhoji nao hawajielewDr. Shika sio mzima kichwani ni wa kumpuuza.
Watanzania tuache kuamini mambo ya ajabu ajabu, kama eti mzigo umemganda mtu aliyeuiba. Hatimaye imefahamika ulikuwa ni utapeli.
Na Shika hana jipya, ulofa haufichiki na mwenye nazo anaonekana.
Wewe ndo maana unaitwa kizwezwe maana yake huna akili...Mkuu hv ushahidi unaozingumzia ni wa picha za gold zilizo kwenye ipad na sio picha halisi za Gold...au picha za pesa zilisaviwa kwenye Ipad kuliko picha halisi za fedha?Au kile cheti feki cha UN....unaamini kweli dunia ya leo unaweza kusafirisha pesa kwenye masanduku unapita nayo airpoti?Una elimu gani kwanza Mkuu?wewe unataka uthibitisho gani mtu ametaja vyombo ,bank na ametia documents sasa wewe unataka ushaidi gani tena ushahidi hufutwa kwa vielelezo wewe unatoa vielelezo gani kuwa jamaa dk shika hajapata mpunga