Ushauri wangu wa wazi kwa waziri serikali kuhusu tatzo la ajira kwa walimu

Wengi miongoni mwao ni wajanja wa town wengine ni bodaboda tu huko kwao...ila wanafoji vyeti vya chuo na wakipiga ngele aaaa ni wasomi wabobezi.
 
Hata mm nitatoa ushirikiano hila sas tutatumia tafsida gani kuwaondoa maana tutaleta unyanyasaji, ukiangalia headmaster anatoka nje, msaidz anatoka nje, wa taaluma anatoka nje na wa nidhamu anatoka nje tutafanyaje kuwashusha vyeo wote kwa pamoja
Asante kaka watu kama nyie wachache wewe ni mzalendo Mungu anakuona
 
  • Thanks
Reactions: J33
Hata mm nitatoa ushirikiano hila sas tutatumia tafsida gani kuwaondoa maana tutaleta unyanyasaji, ukiangalia headmaster anatoka nje, msaidz anatoka nje, wa taaluma anatoka nje na wa nidhamu anatoka nje tutafanyaje kuwashusha vyeo wote kwa pamoja
Sheria inatakiwa kufuatwa kuwa mgeni anayefanya kaz Tanzania awe na working permit in wachache sana wanazo au wanaweza kuwa Nazo. Ila lazima uwe makin maana Kuna baadh ya sehem wakuu wa kitengo wanakula% ya mishahara kila mwezi.
 
Ni ukweli kua tunahitaji changes kwenye idara ya uhamiaji. Nchi za wenzetu hata wafanyakazi wa mashambani wapo legally. It's a shame kama Huku kwetu wageni wanafanya kazi sekta maalumu pasi na kua na permits.
Serikali yetu idedicate efforts kulinda stahiki na haki za wazawa.
Siyo mbaya foreigners kufanya kazi nchini, but wafate sheria
Immigration waamke kutoka kwa hii usingizi and they better start acting
 
  • Thanks
Reactions: J33
Ni ukweli kua tunahitaji changes kwenye idara ya uhamiaji. Nchi za wenzetu hata wafanyakazi wa mashambani wapo legally. It's a shame kama Huku kwetu wageni wanafanya kazi sekta maalumu pasi na kua na permits.
Serikali yetu idedicate efforts kulinda stahiki na haki za wazawa.
Siyo mbaya foreigners kufanya kazi nchini, but wafate sheria
Immigration waamke kutoka kwa hii usingizi and they better start acting
Well said
 
Back
Top Bottom