Ushauri wangu wa wazi kwa waziri serikali kuhusu tatzo la ajira kwa walimu

J33

JF-Expert Member
Jun 11, 2014
1,552
1,505
Mimi no Mwalimu kwa miaka saba na nilimaliza chuo kikuu Udsm. Nimekuwa nikifanya kazi kwenye shule binafsi katika mikoa ya Pwani na Dar kwa muda wote huo.
USHAURI WANGU
Ili kuhakikisha vijana wengi wanapata ajira Serikali iwaondoe waalimu wote kutoka Kenya na Uganda ambao ndio wengi katika shule binafsi kuanzia msingi had secondary. Hii itasaidia vijana wakitanzania kupata ajira na kwa mkoa wa Dar na pwani pekee tunaweza kutengeneza ajira zaidi ya 1000 . Hapa namaanisha waondolewe wale ambao hawana working permit kwa sababu hata wakaamua kutoondoka watakuwa wanaongezea serikali mapata kwa sababu working permit kwa mwaka in karibu milioni tano. Hii kazi ilitakiwa kufanywa na uhamiaji ambao wanaonekana wamelala usingizi mzito( wakati taaasisi zote za serikali ziko active kwa sasa uhamiaji no kama hawapo) .Nimetolea mfano kwa Dar na Pwani ambapo Nina uzoefu napo lakin ukienda mikoa ya Arusha, Kilimanjaro au Kagera hali no mbaya zaidi shule zimejaa wakenya na waganda ambao hawana working permit.
Wengi tumesoma ualimu kwa kuwa ni sects iliyokuwa na uhakika wa ajira sasa Leo ajira zimekuwa ngumu sio kosa la Serikali lakin tujitahid kulinda ajira zilizopo kwa wazawa. Naikumbuka kauli ya Mh Raisi kuwa serikali hii ni ya wanyonge tujitahid wanyonge waone pia ni serikali yao.
Nitatoa ushirikiano pale itakapohitajika.
 
Nimefundisha Shule moja kubwa sana mkoani Mwanza, Maacademic mmoja mganda Mwingine mkenya walimu wa kawaida watano waganda sasa tangu lini Mgeni aka control taaluma ya Tanzania.
 
Nimefundisha Shule moja kubwa sana mkoani Mwanza, Maacademic mmoja mganda Mwingine mkenya walimu wa kawaida watano waganda sasa tangu lini Mgeni aka control taaluma ya Tanzania.
Ni shida kubwa alafu wanoko mbaya.
 
Mbaya zaidi eti mganda au mkenya anafundisha Kiswahili, history, Geography ya Tanzania au Civics it's a Shame. Ndalichako inabidi awaondoe wageni wote kwenye Wizara ya Elimu.
Idara ya uhamiaji imelala usingiz mzito sana.
 
Mimi no Mwalimu kwa miaka saba na nilimaliza chuo kikuu Udsm. Nimekuwa nikifanya kazi kwenye shule binafsi katika mikoa ya Pwani na Dar kwa muda wote huo.
USHAURI WANGU
Ili kuhakikisha vijana wengi wanapata ajira Serikali iwaondoe waalimu wote kutoka Kenya na Uganda ambao ndio wengi katika shule binafsi kuanzia msingi had secondary. Hii itasaidia vijana wakitanzania kupata ajira na kwa mkoa wa Dar na pwani pekee tunaweza kutengeneza ajira zaidi ya 1000 . Hapa namaanisha waondolewe wale ambao hawana working permit kwa sababu hata wakaamua kutoondoka watakuwa wanaongezea serikali mapata kwa sababu working permit kwa mwaka in karibu milioni tano. Hii kazi ilitakiwa kufanywa na uhamiaji ambao wanaonekana wamelala usingizi mzito( wakati taaasisi zote za serikali ziko active kwa sasa uhamiaji no kama hawapo) .Nimetolea mfano kwa Dar na Pwani ambapo Nina uzoefu napo lakin ukienda mikoa ya Arusha, Kilimanjaro au Kagera hali no mbaya zaidi shule zimejaa wakenya na waganda ambao hawana working permit.
Wengi tumesoma ualimu kwa kuwa ni sects iliyokuwa na uhakika wa ajira sasa Leo ajira zimekuwa ngumu sio kosa la Serikali lakin tujitahid kulinda ajira zilizopo kwa wazawa. Naikumbuka kauli ya Mh Raisi kuwa serikali hii ni ya wanyonge tujitahid wanyonge waone pia ni serikali yao.
Nitatoa ushirikiano pale itakapohitajika.
Asante kaka watu kama nyie wachache wewe ni mzalendo Mungu anakuona
 
Pamoja na mambo mengine uliyoorodhesha hapo juu,tujiulize swali rahisi tu ambalo na mimi nataka nipate majibu, kwanini baadhi ya shule za binafsi zinapendelea hao waalimu kutoka Kenya na Uganda?
 
Viongozi wetu hawana maono wao ni kupambana na akina Maxmello tu............kaka we ukisikia wanahitaji mwalimu English tushtuane...
 
  • Thanks
Reactions: J33
Pamoja na mambo mengine uliyoorodhesha hapo juu,tujiulize swali rahisi tu ambalo na mimi nataka nipate majibu, kwanini baadhi ya shule za binafsi zinapendelea hao waalimu kutoka Kenya na Uganda?
This people are very cheap, yan anaweza kukubali kulipwa kiaai kidogo sana na pia hawa watu wanaishi na kufanya kazi kinyume cha sheria hivyo hawadai haki kwa hiyo waajiri wanawapenda zaidi.
 
Viongozi wetu hawana maono wao ni kupambana na akina Maxmello tu............kaka we ukisikia wanahitaji mwalimu English tushtuane...
Wanamaono Ila Kuna idara kama uhamiaji wamejisahau sana wap wanakomalia mipakani tu.
 
Back
Top Bottom