GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,795
Ukiamka Asubuhi mshukuru Mwenyezi Mungu wahi ama Kazini Kwako au Ofisini Kwako kapige Kazi ili ujipatie Pesa za Kuiendeleza Familia yako.
Siasa za Barani ( sina uhakika na za Tanzania kwakuwa siishi huko ) nyingi zimejaa tu Chuki, Unafiki, Fitina na ukicheza vibaya tegemea Kutekwa au Kubambikiwa Kesi na hata Kuteswa vilivyo hadi ukome..!!
Siasa na Demokrasia za Afrika ( sina uhakika na Tanzania kwakuwa sipo na siishi huko ) ni za 'Kukomoana' huku Wewe ambaye umejitolea Kuwapigania Watu ikitokea ukakamatwa Waafrika wale wale waliokuwa wakikuvimbisha Vichwa na kukupa Jeuri watakuacha uhangaike na hadi uteseke peke yako.
Siasa za Barani Afrika ( sina uhakika na za Tanzania kwani sipo na siishi huko ) ni kwamba unaweza ukajiona unapendwa zaidi na Waafrika wa Mitandaoni ( siyo JamiiForums ) nawe ukawaamini na kujawa na Kiburi ila pale likija kukupata la kukupata hakuna atakayehangaika nawe ukiwa ama Mahakamani au Gerezani sana sana hawa hawa 'Waafrika' watakua wanakucheka tu na Kukuona Bonge la Pimbi.
Waafrika tujikite zaidi katika kuwa Wabunifu, Kufanya Kazi kwa bidii na tuzaane sana tu na tujiletee Maendeleo yetu ila kujifanya tu nawe unataka Kupambana na Serikali ( Dola ) hasa kwa nchi hizi za Barani Afrika zenye Marais ( Viongozi ) wengi goi goi na wa hovyo hovyo ni kujitafutia ama Kutekwa, Kupigwa, Kuteswa,Kusodomiwa na Kugomolewa au hata ikibidi utauwawa au kuwekewa Sumu na hata Kubambikiwa Kesi Kubwa zisizo na Dhamana ili kuwatisha wengine wasithubutu Kukuiga au hata Kushoboka nawe.
Siasa za Barani ( sina uhakika na za Tanzania kwakuwa siishi huko ) nyingi zimejaa tu Chuki, Unafiki, Fitina na ukicheza vibaya tegemea Kutekwa au Kubambikiwa Kesi na hata Kuteswa vilivyo hadi ukome..!!
Siasa na Demokrasia za Afrika ( sina uhakika na Tanzania kwakuwa sipo na siishi huko ) ni za 'Kukomoana' huku Wewe ambaye umejitolea Kuwapigania Watu ikitokea ukakamatwa Waafrika wale wale waliokuwa wakikuvimbisha Vichwa na kukupa Jeuri watakuacha uhangaike na hadi uteseke peke yako.
Siasa za Barani Afrika ( sina uhakika na za Tanzania kwani sipo na siishi huko ) ni kwamba unaweza ukajiona unapendwa zaidi na Waafrika wa Mitandaoni ( siyo JamiiForums ) nawe ukawaamini na kujawa na Kiburi ila pale likija kukupata la kukupata hakuna atakayehangaika nawe ukiwa ama Mahakamani au Gerezani sana sana hawa hawa 'Waafrika' watakua wanakucheka tu na Kukuona Bonge la Pimbi.
Waafrika tujikite zaidi katika kuwa Wabunifu, Kufanya Kazi kwa bidii na tuzaane sana tu na tujiletee Maendeleo yetu ila kujifanya tu nawe unataka Kupambana na Serikali ( Dola ) hasa kwa nchi hizi za Barani Afrika zenye Marais ( Viongozi ) wengi goi goi na wa hovyo hovyo ni kujitafutia ama Kutekwa, Kupigwa, Kuteswa,Kusodomiwa na Kugomolewa au hata ikibidi utauwawa au kuwekewa Sumu na hata Kubambikiwa Kesi Kubwa zisizo na Dhamana ili kuwatisha wengine wasithubutu Kukuiga au hata Kushoboka nawe.