Ushauri wangu wa bure tu kama unajijua/ukijijua kuwa wewe ni ama Mwanaharakati au Mpingaji wa Mamlaka

Na ndiyo maana mapema sana nami nimeamua leo Kuwatahadharisha kwani nimedokezwa zoezi linaendelea pia kwa wengine.
Hakuna duniani aliyeweza wasilence watu akaweza aliishia kuukimbiza upepo tu.Wasiposema ndani watasema nje.Uovu haujawahi ishinda Jamii fanya stud.Nyerere aliweza zama za Giza,Kim ameweza sababu anamiliki mifumo yake isiyoingiliana na duniani,hivo akiamua awatoe kafara watu 1000 kwa miungu yake anaweza na dunia haiwezi jua
 
Uwa nacheka sana mtu kunifuata inbox na kunitisha! by the way uwa sijibu pm na pm yangu imejaa sms ila nawapenda wote wanaonitishaga hapa jf bila kunijuwa maana unatakiwa kuwa na roho ngumu sana kumtisha mtu usiyemjuwa! naomba tuheshimiane wengine ufanya kazi na hao hao mnaowatetea.

Ila lazima tupishane kwenye maslahi ya umma ndio maana uwa tunakuja kubishana hapa kuondoa stress zetu za vikao na mipango hatari kwa mstakabari wa taifa letu ndio maana nahesimu mawazo ya kila namna ya wanajamii forum ila nashauri usimtishe mtu usiyejuana naye! Mdude yeye alijisahau sana!
 
Hivi pale pembeni ya Mdude kwenye ile picha akiwa na pingu mahakamani umemuona kigogo 2014?
Umemuona Mange?
Umemuona Zitto?
Umemuona Mbowe?
Umemuona Mdee??
Umemuona Lema?
Umemuona Fatuma karume?
Umewaona wale wafuasi wake waliokuwa wana like matusi yake?

Nauliza umewaona hao wakimsaport ndugu Mdude nao wakiwa wamefungwa pingu pamoja nae?

Umeona hata maandamano ya watu 5 tu kumsapot ndugu Mdude?

Tafakari sana!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimemwona Crimea. Vipi umefurahi sasa?

Bye bye amigo don't remember even to write back.
 
Tatizo hiyo njia ya kuwafunga watu, kuwaua au kuwatesa haijawahi shinda popote, njia kubwa ya kuwanyamazisha watu ni HOJA ZENYE NGUVU KULIKO WAO, hizo zingine zitasaidia kwa muda fulani tu lakin sio muda wote
Kuna Watu wanadhani labda hili ANGALIZO nililoliweka hapa nimeliweka ili mradi tu. Jamani tuwe makini na tuwe pia na Kiasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Acha Kuwaamini kwa 100% wale Watu wanaojifanya ni wa karibu Kwako.
2. Tumia ID iliyo anonymous na siyo ile ambayo inakutambulisha Kiuhalisi na wengi wanaijua.
3. Acha kupenda hovyo Wanawake au Wanaume kwani kwa 100% hao ndiyo watatumika Kukumaliza.
4. Hakikisha Mizunguko yako yote ya Siku uwe unaijua Wewe tu na ikiwezekana iwe ni ya Zig Zag Style.
5. Ukiona kuna Watu wanakusifia na kukupongeza kwa uanaharakati wako waangalie mara mbili mbili.
6. Wa Kumkaribisha Kwako awe ni Mama au Baba yako tu kwani Ndugu / Marafiki wengine hutumika.
7. Ukijua unaviziwa ama toa Taarifa kwa Watu mapema na ikiwezekana piga Picha Matukio yote.

Tuwe makini sana na nasisitiza tena tuwe makini mno na namalizia kusisitiza kuwa tuwe makini zaidi Maadui zetu hawalali 24/7.
Nchi imefika kusiko sasa jamani tuwe makini uchaguzi ujao!
 
Hivi pale pembeni ya Mdude kwenye ile picha akiwa na pingu mahakamani umemuona kigogo 2014?
Umemuona Mange?
Umemuona Zitto?
Umemuona Mbowe?
Umemuona Mdee??
Umemuona Lema?
Umemuona Fatuma karume?
Umewaona wale wafuasi wake waliokuwa wana like matusi yake?

Nauliza umewaona hao wakimsaport ndugu Mdude nao wakiwa wamefungwa pingu pamoja nae?

Umeona hata maandamano ya watu 5 tu kumsapot ndugu Mdude?

Tafakari sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mandela alikaa jela pekee yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom