Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
1. Acha Kuwaamini kwa 100% wale Watu wanaojifanya ni wa karibu Kwako.
2. Tumia ID iliyo anonymous na siyo ile ambayo inakutambulisha Kiuhalisi na wengi wanaijua.
3. Acha kupenda hovyo Wanawake au Wanaume kwani kwa 100% hao ndiyo watatumika Kukumaliza.
4. Hakikisha Mizunguko yako yote ya Siku uwe unaijua Wewe tu na ikiwezekana iwe ni ya Zig Zag Style.
5. Ukiona kuna Watu wanakusifia na kukupongeza kwa uanaharakati wako waangalie mara mbili mbili.
6. Wa Kumkaribisha Kwako awe ni Mama au Baba yako tu kwani Ndugu / Marafiki wengine hutumika.
7. Ukijua unaviziwa ama toa Taarifa kwa Watu mapema na ikiwezekana piga Picha Matukio yote.
Tuwe makini sana na nasisitiza tena tuwe makini mno na namalizia kusisitiza kuwa tuwe makini zaidi Maadui zetu hawalali 24/7.
2. Tumia ID iliyo anonymous na siyo ile ambayo inakutambulisha Kiuhalisi na wengi wanaijua.
3. Acha kupenda hovyo Wanawake au Wanaume kwani kwa 100% hao ndiyo watatumika Kukumaliza.
4. Hakikisha Mizunguko yako yote ya Siku uwe unaijua Wewe tu na ikiwezekana iwe ni ya Zig Zag Style.
5. Ukiona kuna Watu wanakusifia na kukupongeza kwa uanaharakati wako waangalie mara mbili mbili.
6. Wa Kumkaribisha Kwako awe ni Mama au Baba yako tu kwani Ndugu / Marafiki wengine hutumika.
7. Ukijua unaviziwa ama toa Taarifa kwa Watu mapema na ikiwezekana piga Picha Matukio yote.
Tuwe makini sana na nasisitiza tena tuwe makini mno na namalizia kusisitiza kuwa tuwe makini zaidi Maadui zetu hawalali 24/7.