GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Najua kwamba muda wowote utafanya 'uteuzi ' wako wa kujaza nafasi za Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na Mkuu wa JKT baada ya ' Makamanda ' waliotukuka akina Mwakibolwa na Isamuhyo Kustaafu rasmi jana kwa mujibu wa Sheria za Kiutumishi / Kijeshi.
Amiri Jeshi Mkuu wangu na Rais wangu Kipenzi kabisa hujawahi kuniangusha kwa kila ninayokuomba au kukushauri humu JamiiForums na najua kuwa hata threads na posts zangu karibia nyingi tu huwa unazipitia na naambiwa huwa unavunjika nazo mbavu sana na nasubiri tu nami siku moja unialike nije nikae nawe hapo Jumba Jeupe ili tuzungumze mengi huku tukiwatizama hao Ndege wazuri Tausi ambao huwa nawapenda mno hasa pale wakiwa wanalia na huo ukimya uliopo hapo.
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu wangu Rais Dkt. Magufuli nakuomba sana usifanye makosa wala kupoteza muda wa kufikiri sijui ni nani anapaswa Kuwarithi hao ' Majemedari ' waliostaafu JWTZ badala yake nakuomba ' uteuzi ' wako kuziba nafasi zao utokee katika moja tu ya hii Mikoa tajwa hapa chini
Nawasilisha.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki GENTAMYCINE
Amiri Jeshi Mkuu wangu na Rais wangu Kipenzi kabisa hujawahi kuniangusha kwa kila ninayokuomba au kukushauri humu JamiiForums na najua kuwa hata threads na posts zangu karibia nyingi tu huwa unazipitia na naambiwa huwa unavunjika nazo mbavu sana na nasubiri tu nami siku moja unialike nije nikae nawe hapo Jumba Jeupe ili tuzungumze mengi huku tukiwatizama hao Ndege wazuri Tausi ambao huwa nawapenda mno hasa pale wakiwa wanalia na huo ukimya uliopo hapo.
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu wangu Rais Dkt. Magufuli nakuomba sana usifanye makosa wala kupoteza muda wa kufikiri sijui ni nani anapaswa Kuwarithi hao ' Majemedari ' waliostaafu JWTZ badala yake nakuomba ' uteuzi ' wako kuziba nafasi zao utokee katika moja tu ya hii Mikoa tajwa hapa chini
- Tabora
- Mara
- Iringa
- Mbeya
- Mwanza
- Kigoma
- Ruvuma
Nawasilisha.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki GENTAMYCINE