Ushauri wangu wa bure kabisa kwa CCM yangu na hasa Mwenyekiti Taifa Rais Dkt. Magufuli dhidi ya Bernard Membe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.
akihamia chama kingine hata udiwani hapati kwa sharia ya vyama, lazima awe mwanachama si chini ya mwaka mmoja! I stand to be corrected kwa hiyo sheria
 
# HON_TUNDU_LISSU #
Hello Friends of Tundu Lissu,
Salaam,
Naomba nianze na afya yangu. Kwa ujumla naendelea vizuri. Operesheni sasa zimeisha; zimeishia kwenye namba 24, maana hii ya mwisho ilikuwa ni operesheni mbili kwa mpigo. Walitoa kipande cha mfupa upande wa kushoto wa kiuno na kukipigia kiraka kwenye goti la kulia kwa juu.
Vidonda vyote viwili vimepona, angalau kwa juu. Sasa ni mazoezi ya kukunja goti lenyewe na kutembea. Natakiwa kuonana na madaktari wangu kila baada ya wiki sita kwa ajili ya x-ray na CT scan. Next appointment ni tarehe 2 Aprili na inayofuata ni tarehe 14 May.
Kwa vyovyote vile, safari iliyobaki sio ndefu sana. Ndani ya mwaka huu nitarudi nyumbani. Kwa pamoja, tuanze kujielekeza kwenye hilo. Tutashauriana kwa pamoja kuhusu tarehe na utaratibu mzima wa kurudi nyumbani.
Haya ya Ndugai na watu wake, na walio nyuma yao, tukabiliane nayo. Tutayaweza. Nguvu ya nuru, upendo na haki siku zote ni kubwa kuliko nguvu ya giza, chuki na dhuluma.
Nawashukuruni sana na Mungu wetu awabariki sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.
Hivi kuna watu bado wanaota ndoto kujiita wanasiasa awamu hii ,sasa hivi kunatakiwa wanajeshi wengi tu tujitolee JKT
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.
Nyuzi za hofu hizi!
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.

Sasa si mngenyamaza tusubiri hiyo surprise? Na nyie buana!!!!
 
si inasemakana membe na rwanda hawafungamani hivyo wanyarwanda wanatafuta namna ya kuuepuka moto wa membe. anyway maamuzi ya chama yaheshimiwe na yeyote atakayependezwa na chama tutakuwa naye katika safari ya ushindi.
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.
Wazee wetu waliturithisha misemo mingi tu na mojawapo ni
'Lisemwalo lipo na halipo basi liko njiani linakuja'
 
Yaani wewe jamaa n bogus nambari moja humu jf, kun tatizo gani membe akitaka kugombea?
Au unatumia katiba gani inayomnyima mwanachama wa CCM kugombea hicho kiti?
Umekuja na hoja dhaifu Sana ambazo hata hazieweleki hata mtoto wa kindergarten angelikushangaa Sana!

Unataka adhibitiwe ili iweje? Watu wengine Kama wachawi tu!
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.
Mkuu kwani Kuna tatizo gani kwa mwanadiplomasia,mwanasiasa na Jasusi Mbobezi ,Bernad Membe akitaka kugombea ndani ya Chama?kwa katiba ipi ya Chama inayombana asitumie haki yake?
 
akihamia chama kingine hata udiwani hapati kwa sharia ya vyama, lazima awe mwanachama si chini ya mwaka mmoja! I stand to be corrected kwa hiyo sheria
Kina Waitara walihama chama ndani ya mwezi mpaka unaibu waziri mliwapa! Kumbe ndio mana mlifanya 'manunuzi' fasta fasta ili kuwahi sheria ya vyama? Hivi mkuu sheria ya vyama vya siasa imeanza kufanya kazi lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.

Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.

Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.

Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.

Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.

Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.

Yangu ni hayo tu kwa leo.

Nawasilisha.
MEMBE FOR PRESDENTIAL 2020 OVER
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom