GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,054
- 107,538
Ama atumike sasa hivi kwa Faida ya Chama chetu au basi kama hatakiwi tena CCM nashauri mumuondoe mapema Chamani kwani kwa ' Mipango ' ambayo nimeipata kutoka kwa mmoja wa ' Insiders ' wake ambayo ni Mikubwa na ya Kimkakati zaidi kama au endapo itafanikiwa basi mwakani 2020 Mwenyekiti na Rais Dkt. Magufuli unaangushwa mapema ( asubuhi sana ) na anachukua nchi na hutoamini.
Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.
Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.
Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.
Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.
Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.
Yangu ni hayo tu kwa leo.
Nawasilisha.
Akitumika ndani ya Chama chetu ' Organs ' zetu za Kiusalama zitakuwa katika nafasi nzuri ya Kumsoma na Kumdhibiti Kiurahisi mno ila akiachwa hivi hivi bila Kutumika na kuonekana kuwa sasa Yeye si Mali Kitu au muhimu tena CCM endapo akisema ahamie Upinzani au humu humu CCM afanye ' Mapinduzi ' anachukua Hatamu ya Chama na nchi.
Na taarifa zaidi zinadai kwamba kwa Pesa ambazo Bernard Membe anazo haza zile za Mafuta kutoka Libya alizozipata Kipindi fulani huko nyuma na ambazo pia amezificha katika moja ya nchi ambayo hata aliyekuwa ' Boss ' wake nae ameficha zake huko huko huku akipata ' Msaada ' mkubwa sana na hizi nchi tatu za Marekani, Uingereza na China akiamua ' Kukupindua ' au ' Kukinukisha ' ndani ya CCM au Kuipa CCM wakati mgumu au akihamia CHADEMA huenda CCM tukawa na Kazi ngumu na nzito mwakani ( 2020 ) kuliko hata ambayo Mzee Lowassa alitutesa na kutuhenyesha mwaka 2015 na hatutakuja kuamini macho yetu kwa Kitakachotokea.
Mwisho kabisa Mheshimiwa Mwenyekiti wangu na Rais wangu pia nakuomba sana acha ' Kuwakumbatia ' mno Wachina na kuingia nao Mikataba mbalimbali na mirefu kwani Wao pia wana mambo yao na huwa wana ' Umafia ' mkubwa kama wakiona upo nao na kisha baadae wakakuona uko tena na Wamarekani na pia ni wazuri mno katika ' Kupenyeza ' Uasi na Machafuko katika nchi husika. Kuwa na Urafiki tu ' Partially ' ila usiwaamini kivile hadi ukawaingiza Sebuleni na pia wakachungulia na Jikoni. Na kama kuna Kitu ambacho umewaudhi Wachina ni kile cha ' Kuwatosa ' katika Mradi ule wa Umeme wa Stiglers Gorge na ukawapa Wamisri na hapa lazima tu kuna sehemu Wachina watakuchezea mchezo wa ' Kimafia ' ambao utakutikisa kidogo.
Namalizia kwa kusema kwamba ama Membe atumike kwa Kukisaidia Chama chetu cha CCM au basi kama hatakiwi afunguliwe mlango mapema hii ili nasi tuanze Kuchora ramani ya Kumkabili ila akiachwa hivi ndani ya Chama huku akionekana mkimya wakati kumbe Mwenzenu anajipanga vilivyo mwakani 2020 kama akiamua Kuhamia Upinzani na hasa hasa CHADEMA tutakuja Kujuta na Kuukumbuka huu ' Uzi ' wangu hapa.
Lipokeeni na lizingatieni hili kwa umakini wenu mkubwa mno na mkae mkijua kuwa Bernard Membe ni ' threat ' ndani ya Chama cha CCM tena kuliko hata alivyokuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Edward Lowassa. Jamaa ( Membe ) yuko makini, mwerevu na ni Mtu mjanja mno na anayejua Kuitumia vyema Taaluma yake ya Udiplomasia uliochanganyika na Ujasusi / Ujangu wake alioubobea na unaompenda vile vile.
Yangu ni hayo tu kwa leo.
Nawasilisha.