Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Umeifanya siku yangu iwe njema leo. Nimecheka sanaHapo naona umeizungumzia K maranyingi kuliko madaktari hao wa kiume.....
Umeifanya siku yangu iwe njema leo. Nimecheka sanaHapo naona umeizungumzia K maranyingi kuliko madaktari hao wa kiume.....
Mh! Kwahiyo unawaonea wivu au, wanafaidi nini Sasa?Wanafaidi sana hawa watu
Dah! JF raha sana. Kutekenya vibumbuKutekenya vibumbu kila cku
Huo ndio ukweli mkuu...Umeifanya siku yangu iwe njema lwo. Nimecheka sana
Anaona wanafaidi kushika papuchi.Mh! Kwahiyo unawaonea wivu au, wanafaidi nini Sasa?
Yaani hadi unakuwa Dr mama yako bado anazaa? Acha utani aisee. Au mama yako yupi....mama mdogo au?Ndiyo hapo sasa huwa ninajiulizaga sana kama haliepukiki ebu chukulia mfano huu ikiwa Mimi ni Dr na nipo katika hizi Hospitali zetu za kata na kamaunavyojua changamoto za madokta hasa huko vijijini, halafu ikatokea ameletwa mjamzito ambaye ni mama yangu mzazi na pale nipo peke yangu, je hapo itakuwaje itanibidi nimzalishe au vipi labda hapo mtaniuliza inakuwaje mama yangu awe anaendelea kuzaa wakati mimi mtoto wake nimeshakuwa mkubwakiasi hicho hadi kuwa Dr, ni kwamba hayo mambo yapo na yametokea
Kwani kuchezea papuch kila siku si ni rahaMh! Kwahiyo unawaonea wivu au, wanafaidi nini Sasa?
Ki vipi mkuu ?Uzalishaji unatakiwa ufanywe na madr wa kiume tu, hata wajawazito wenyewe wanaelewa hili
Asante sana kwa kututetea MâmäPale mbeya dr sijabaji alikuwa anatuzalisha na alikuwa dr mzuri sana
na hata ukikutana naye popote ni heshima 100%
sema watoto wa miaka hii nao hawajatulia;
Kasomee uDr kwanza naamini utapata jibu hata kabla hujamaliza mwaka wa kwanza. Mambo mengine ni kuwaachia wenye fani maana kuyatafakari kwa akili za kawaida huwezi pata majibu.Ndiyo hapo sasa huwa ninajiulizaga sana kama haliepukiki ebu chukulia mfano huu ikiwa Mimi ni Dr na nipo katika hizi Hospitali zetu za kata na kamaunavyojua changamoto za madokta hasa huko vijijini, halafu ikatokea ameletwa mjamzito ambaye ni mama yangu mzazi na pale nipo peke yangu, je hapo itakuwaje itanibidi nimzalishe au vipi labda hapo mtaniuliza inakuwaje mama yangu awe anaendelea kuzaa wakati mimi mtoto wake nimeshakuwa mkubwakiasi hicho hadi kuwa Dr, ni kwamba hayo mambo yapo na yametokea
Nikweli brother... Wanachukulia mambo mepesi sana hawa jamaa aiseeehKasomee uDr kwanza naamini utapata jibu hata kabla hujamaliza mwaka wa kwanza. Mambo mengine ni kuwaachia wenye fani maana kuyatafakari kwa akili za kawaida huwezi pata majibu.
Unazungumzia kuzalisha, vipi wanaofanya postmortem? Vipi wanaotibu sehem za haja kubwa? Wasafisha vidonda je? Vipi mochwari?
Enzi za vipimo vya tezi dume?? Hivi hii na kuzalishwa kipi ni uzalilishaji? Achilia kumzalisha huyo mama yako(japo ni jambo la kufikirika zaidi) unazungumziaje Mzee wako apimwe tezi dume na bwana mdogo tu daktari huoni hata wewe hutajisikia vyema??
Alikua anawafaidi anavyowapima PV unaingiza vidole kwenye papuchi then unaweka ile alama ya chadema ya vPale mbeya dr sijabaji alikuwa anatuzalisha na alikuwa dr mzuri sana
na hata ukikutana naye popote ni heshima 100%
sema watoto wa miaka hii nao hawajatulia;