Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,574
- 46,141
SIASA IKO DUNIANI KOTE, NA DUNIA YOTE INA WAFUASI WA SIASA AINA YENU.
Bahati mbaya ikiwa asubuhi kila mtu ana msimamo, mchana wanapungua na ikifika jioni wengi unagundua maamuzi yao yalikuwa siyo yenye faida na kumsaidia mwananchi bali kila mtu anaangalia familia yake itaishije.
HAKUNA SIASA HAPA AFRIKA.