Ushauri wangu kwa viongozi wa upinzani wote

Mji tafakari na msimame kwenye uhalisia

Mkitaka watu tuwaunge mkono onyesheni kuguswa na hali anayoipitia mwananchi wa kawaida sio siku za kukosa kwenu kura ndio mjitokeze na kusema wananchi tuandamane

Hilo suala haliwezekani na hamta mpata mtu hata mmoja labda wale mnao walenga

Mimi nilitegemea kwenye matatizo ya wananchi muoneshe huo uongozi wenu ili tuwaamini lakini mmekuwa wapiga kelele kwenye maslahi yenu tu

Alafu mnataka uungwaji mkono hapana kwakweli jifunzeni
hizo siasa mnazotaka nyinyi zimepitwa na wakati mambo ya kufia vyama saizi hatuna wananchi tunajielewa

Na imani siku moja akajitokeza mwamba mmoja akasema kwa kuwa vitu vimepanda bei hebu wananchi wenzangu tuweke maandamano kugomea hili swala
Ama hakika huyo kiongozi atapata uungwaji mkono sana na watu watakuwa radhi kufanya hivyo

Eti leo useme tumeibiwa kura tuandamane!! Ni mweu pekee yake atajitokeza sababu halina faida yoyote kwa mwananchi
Utasikia wakisema nikafe kisa kumpa mwenzetu ulaji ngoja niendelee na mambo yangu

Najua sana mnatamani watu waandamane ila hiyo style mnayotumia never hampati mtu

Hebu mjiongeze acheni siasa uchwara watu tunataka uhalisia wa vitengo sio vinginevyo

Nb: sijaongelea chama kimoja hapa msije mkanitolea povu
Wewe umeandamana wapi? Umeambiwa Katiba mpya ndiyo dawa ya yote hayo unayolialia, umefanya nini?
Kila mtu atulie anyolewe kivyake.
 
Wenye ushawishi walianzaje? anza hata na mtaa unaoishi, huu ujinga wenu wa kufikiri uchaguzi ni kwa ajili ya Mbowe na familia ake ndiyo mjue madhara yake baadae ndiyo haya. Tena naomba vitu vipande haswa hatara mara 5 ya hapa tulipo
Haya mkuu kazi iendelee

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Mji tafakari na msimame kwenye uhalisia

Mkitaka watu tuwaunge mkono onyesheni kuguswa na hali anayoipitia mwananchi wa kawaida sio siku za kukosa kwenu kura ndio mjitokeze na kusema wananchi tuandamane

Hilo suala haliwezekani na hamta mpata mtu hata mmoja labda wale mnao walenga

Mimi nilitegemea kwenye matatizo ya wananchi muoneshe huo uongozi wenu ili tuwaamini lakini mmekuwa wapiga kelele kwenye maslahi yenu tu

Alafu mnataka uungwaji mkono hapana kwakweli jifunzeni
hizo siasa mnazotaka nyinyi zimepitwa na wakati mambo ya kufia vyama saizi hatuna wananchi tunajielewa

Na imani siku moja akajitokeza mwamba mmoja akasema kwa kuwa vitu vimepanda bei hebu wananchi wenzangu tuweke maandamano kugomea hili swala
Ama hakika huyo kiongozi atapata uungwaji mkono sana na watu watakuwa radhi kufanya hivyo

Eti leo useme tumeibiwa kura tuandamane!! Ni mweu pekee yake atajitokeza sababu halina faida yoyote kwa mwananchi
Utasikia wakisema nikafe kisa kumpa mwenzetu ulaji ngoja niendelee na mambo yangu

Najua sana mnatamani watu waandamane ila hiyo style mnayotumia never hampati mtu

Hebu mjiongeze acheni siasa uchwara watu tunataka uhalisia wa vitengo sio vinginevyo

Nb: sijaongelea chama kimoja hapa msije mkanitolea povu
Mbona watu wanawaunga mkono Sana tu Ila mikutano yao inavamiwa au inakatazwa na polisi kwa visingizio ambavyo havipo. Ukitaka kujua tunawaunga mkono ruhusuni mikutano ndo mjue Kama ccm inapendwa au inalindwa na polisi tu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom