Weka cctv camera kwenye gariHawa jamaa nimekutana nao wawili, yaani anaovetake anaingia upande wangu tupo uso kwa uso lakini anakomaa mm ndio inabidi nipite vichakani kumpisha.... ujinga wao utacost maisha ya watu siku moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka cctv camera kwenye gariHawa jamaa nimekutana nao wawili, yaani anaovetake anaingia upande wangu tupo uso kwa uso lakini anakomaa mm ndio inabidi nipite vichakani kumpisha.... ujinga wao utacost maisha ya watu siku moja.
Elimu bila uzoefu ni sifuriKuendesha gari ni art. Hakuna watu wawili duniani wanaweza kuendesha sawa. Hii si kwa gari tu bali pia katika utendaji mwingine wowote.
Elimu ndiyo inayo tofautisha watu kiutendaji.
Yule bwana aliyepumzika "phase out" yake ya watendaji wote (wakiwamo madereva) wasiokuwa na elimu sikuwahi kumlaumu.
Hawakukosea waliotambua elimu kuwa ufunguo wa maisha.
Meridian ya Rombo ishaingia dar saa 5.Mnaolalamika speed hiv mngepanda ngorika,
Buffalo enz hzo unakanyaga mosh saa sita
Cjui kama mngerudia
Pia dar express nliwah toka
Rombo nliingia dar saa nane na nusu
Ilikua balaaa yani
Hivyo hivyo utsjikuta chumba cha maiti muda kama huo !!! Ni suala LA muda tuu !! Endeleeni na ushamba wenu kama watoto wa darasa LA tatuWiki mbili zilizopita wameingia Morogoro saa 2:47 asubuhi wakitokea Dar, wakabana maeneo ya oilcom
Hawa jamaa nimekutana nao wawili, yaani anaovetake anaingia upande wangu tupo uso kwa uso lakini anakomaa mm ndio inabidi nipite vichakani kumpisha.... ujinga wao utacost maisha ya watu siku moja.
afadhari simbachawene ameongezea uzito huu uziHaya wale mashabiki wa Sauli hapa Boss mwenyewe ndio kawakamataView attachment 1881906
SUMATRA ndiyo akina nani hao?wanahusikaje na madereva au mimi ndo sielewi au?Wakuu habari,
Ningependa kuishauri SUMATRA wawaite na kuwashauri wamiliki/madereva wa mabasi ya SAULI kuwa kusifiwa barabarani kwa ubingwa wao wa kukimbia speed kubwa na kuovertake bila mpangilio siku moja kutagharimu maisha ya abiria wasio na hatia.
Ushauri wangu ni huo kwenu SUMATRA msije sema hamkuambiwa.
Ukuingie vizuri siyo?kaa kimya