Ushauri wangu kwa SUMATRA kuhusu magari ya Sauli

Planett

JF-Expert Member
Mar 20, 2014
10,404
15,873
Wakuu habari,

Ningependa kuishauri SUMATRA wawaite na kuwashauri wamiliki/madereva wa mabasi ya SAULI kuwa kusifiwa barabarani kwa ubingwa wao wa kukimbia speed kubwa na kuovertake bila mpangilio siku moja kutagharimu maisha ya abiria wasio na hatia.

Ushauri wangu ni huo kwenu SUMATRA msije sema hamkuambiwa.
 
Hawa jamaa nimekutana nao wawili, yaani anaovetake anaingia upande wangu tupo uso kwa uso lakini anakomaa mm ndio inabidi nipite vichakani kumpisha.... ujinga wao utacost maisha ya watu siku moja.

Hili linawahusu Sumatra, wamiliki au madereva wote?

Kwanini upumbavu wa mtu mmoja au wawili unauchukulia kuwa msimamo wa Mamia ya watu katika sekta hiyo?

Usafirishaji ni sekta kubwa na ina watu wanaojitambua kuliko unavyotaka kutuaminisha wewe.
 
Hili linawahusu Sumatra, wamiliki au madereva wote?

Kwanini upumbavu wa mtu mmoja au wawili unauchukulia kuwa msimamo wa Mamia ya watu katika sekta hiyo?

Usafirishaji ni sekta kubwa na ina watu wanaojitambua kuliko unavyotaka kutuaminisha wewe.
mkuu kwani anae regulate usafiri wa nchi kavu ni nani? na nimespecify kabisa kua tatizo ni kwa madereva wa mabasi ya SAULI sababu tangia nimeanza kutumia barabara hawa jamaa wapo tofauti sana hata ukiuliza ni nani mabingwa wa speed road sasa hivi utaambiwa ni sauli
 
mkuu kwani anae regulate usafiri wa nchi kavu ni nani? na nimespecify kabisa kua tatizo ni kwa madereva wa mabasi ya SAULI sababu tangia nimeanza kutumia barabara hawa jamaa wapo tofauti sana hata ukiuliza ni nani mabingwa wa speed road sasa hivi utaambiwa ni sauli

Kuendesha gari ni art. Hakuna watu wawili duniani wanaweza kuendesha sawa. Hii si kwa gari tu bali pia katika utendaji mwingine wowote.

Elimu ndiyo inayo tofautisha watu kiutendaji.

Yule bwana aliyepumzika "phase out" yake ya watendaji wote (wakiwamo madereva) wasiokuwa na elimu sikuwahi kumlaumu.

Hawakukosea waliotambua elimu kuwa ufunguo wa maisha.
 
Niliwahi kupanda hili basi ila hiyo speed inayosemwa na wengi sikuiona kwakweli.

Kinachofanya hili basi lifike haraka ni kua halina vituo vingi na halikai stendi. Ile siku nakumbuka pale msavu hatukutumia dakika nyingi, izo stendi nyingine ni kuingia na kutoka tu hakuna kusimama hovyo kupoteza muda.

Mabasi mengine kama rungwe na newforce vituo ni vingi, wanabeba abiria hata wa rout fupifupi.
 
Niliwahi kupanda hili basi ila hiyo speed inayosemwa na wengi sikuiona kwakweli.

Kinachofanya hili basi lifike haraka ni kua halina vituo vingi na halikai stendi. Ile siku nakumbuka pale msavu hatukutumia dakika nyingi, izo stendi nyingine ni kuingia na kutoka tu hakuna kusimama hovyo kupoteza muda.

Mabasi mengine kama rungwe na newforce vituo ni vingi, wanabeba abiria hata wa rout fupifupi.
inaweza kua sahihi lakini hawa jamaa huko road wana sifa mbaya sana japo kwao wanaona ni sifa
 
Wakuu habari,

Ningependa kuishauri SUMATRA wawaite na kuwashauri wamiliki/madereva wa mabasi ya SAULI kuwa kusifiwa barabarani kwa ubingwa wao wa kukimbia speed kubwa na kuovertake bila mpangilio siku moja kutagharimu maisha ya abiria wasio na hatia.

Ushauri wangu ni huo kwenu SUMATRA msije sema hamkuambiwa.
SUMATRA ndio nini
 
Wakuu habari,

Ningependa kuishauri SUMATRA wawaite na kuwashauri wamiliki/madereva wa mabasi ya SAULI kuwa kusifiwa barabarani kwa ubingwa wao wa kukimbia speed kubwa na kuovertake bila mpangilio siku moja kutagharimu maisha ya abiria wasio na hatia.

Ushauri wangu ni huo kwenu SUMATRA msije sema hamkuambiwa.

Sio tena SUMATRA..... ni LATRA
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom