Natumai hamjambo wakuu,
Katika historia, bibi mzaa baba aliwahi kunisimulia kua enzi za ukoloni wazungu walipita nyumba hadi nyumba kujifunza tiba za magonjwa mbali mbali kwa wazee wetu kwa kuandika kisha wakapeleka kwao nakuziendeleza hivyo napenda kuishauri serikali pia katika hili.
Ikiwa serikali imewatumia watu wa tiba asilia kuleta dawa zao na kuzifanyia uchunguzi kisayansi kisha tukapata ufumbuzi wa corona, basi iwatumie tena walete dawa za magonjwa mengine mbali mbali kama ya moyo, kisukari, kansa na nk. zifanyiwe uchunguzi kitaalam kama zitafaa na hazitakua na madhara kitaalam basi zitumike kama tiba.
Hii itasaidia sana kuiimarisha sekta yetu ya afya itakapokua ikizalisha dawa zake na tutakua tumepiga hatua nyingne kama taifa kuliko kua tunaagiza madawa daily akati miti na wataalam tunao.
Katika historia, bibi mzaa baba aliwahi kunisimulia kua enzi za ukoloni wazungu walipita nyumba hadi nyumba kujifunza tiba za magonjwa mbali mbali kwa wazee wetu kwa kuandika kisha wakapeleka kwao nakuziendeleza hivyo napenda kuishauri serikali pia katika hili.
Ikiwa serikali imewatumia watu wa tiba asilia kuleta dawa zao na kuzifanyia uchunguzi kisayansi kisha tukapata ufumbuzi wa corona, basi iwatumie tena walete dawa za magonjwa mengine mbali mbali kama ya moyo, kisukari, kansa na nk. zifanyiwe uchunguzi kitaalam kama zitafaa na hazitakua na madhara kitaalam basi zitumike kama tiba.
Hii itasaidia sana kuiimarisha sekta yetu ya afya itakapokua ikizalisha dawa zake na tutakua tumepiga hatua nyingne kama taifa kuliko kua tunaagiza madawa daily akati miti na wataalam tunao.