Ukiona hivyo wameshaingia hofu ya kutangulia kutokana na side effects za chanjo za majaribio, watulie tu wasikilizie maana ukishadungwa ndo imeenda hiyo...Sasa wewe umeshachanjwa unaogopa maambukizi gani tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo wameshaingia hofu ya kutangulia kutokana na side effects za chanjo za majaribio, watulie tu wasikilizie maana ukishadungwa ndo imeenda hiyo...Sasa wewe umeshachanjwa unaogopa maambukizi gani tena?
Kuna samaki fulani ni crabs nadhani hua wakiwekwa kwenye ndoo wengi,wakiona mwenzao anaenda kujiokoa kwA kutoka nje ,waliobaki wanamvuta chini Ili wafe wote ndani ya ndooUkiona hivyo wameshaingia hofu ya kutangulia kutokana na side effects za chanjo za majaribio, watulie tu wasikilizie maana ukishadungwa ndo imeenda hiyo...
Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi.
Haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati.
Haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana.
Naomba Serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma.
Mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi.
Huu ujinga tukiuvumilia utatucost.
Chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Inawezekana conspiracy theory iliochangamkaHa ha ha msomi wangu umejuaje hayo kaka....
Msomi je hii si "conspiracy theories" comrade?!!🤣
Haya mambo hayaeleweki tu mzeeHa ha ha msomi wangu umejuaje hayo kaka....
Msomi je hii si "conspiracy theories" comrade?!!🤣
Ukichanjwa wewe haupati so tuache tusiotaka kuchanjwa.acha tuwe wapuuzi.Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi.
Haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati.
Haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana.
Naomba Serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma.
Mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi.
Huu ujinga tukiuvumilia utatucost.
Chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Afu nakushangaa so akija raisi mwingine akapima papai akadai Lina korona na chanjo imepewa panya ama gorilla imepata ukichaa ndani ya muda mchache so utafuatana naye na kumkubalia na kumuona kichwa Sana.Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi.
Haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati.
Haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana.
Naomba Serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma.
Mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi.
Huu ujinga tukiuvumilia utatucost.
Chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Kama msomi yasipoeleweka inakuwaje tunayatengenezea taswira na majibu juu?!!🤣Haya mambo hayaeleweki tu mzee
Kufa hakuhusiani na kuchanjwa ama kutokuchanjwa.....Nendeni mkachanje mtuache sisi tusiotaka tufe.
Kwanini hamjiamini na chale zenu?
Na ibaki kuwa hiari maana upepo unaonesha mbele kutakuwa na vikwazo kwa wasiochanjwaKufa hakuhusiani na kuchanjwa ama kutokuchanjwa.....
Tunajitahidi "kuzichukua silaha"twende mapambanoni....
Chanjo ni hiyari mkuu...
Very reasonable and arqumented statement well doneHivi wakati wa kujamiiana wewe na mumeo huwa mnavaa Kondomu wote?
Hahahahah ni sababu majibu lazma yatoleweKama msomi yasipoeleweka inakuwaje tunayatengenezea taswira na majibu juu?!!🤣
Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi.
Haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati.
Haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana.
Naomba Serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma.
Mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi.
Huu ujinga tukiuvumilia utatucost.
Chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?