Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi.
Haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati.
Haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana.
Naomba Serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma.
Mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi.
Huu ujinga tukiuvumilia utatucost.
Chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati.
Haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana.
Naomba Serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma.
Mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi.
Huu ujinga tukiuvumilia utatucost.
Chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?