#COVID19 Ushauri wangu kwa Serikali, Naomba Chanjo iwe lazima hatutaki kuangamizwa na wapuuzi wachache

Usilete mihemko yako ya kipuuzi af watu ambao mnatumiaga dozi mda mrefu mna makasiriko ya ajabu sana!
Chomeni chanjo hio ila msilazimishe watu
Kwa hiyo wanaochoma chanjo wote WANATUMIA DOZI YA MUDA MREFU?!!

Well Macron ameanza kulazimisha watu kuchanjwa.....

#TujitokezeniKuchanjwa
 
Wanaokuwaga na mahasira ya ajabu kama mtoa mada!
AZT zikishapanda kwenye ubongo zinaletaga mahasira ya ajabušŸ˜… anakuja kuleta mambo ya ajabu ajabu
šŸ¤£šŸ¤£Sawa mkuu wangu umetambaa kisomi ,mimi si Askofu Gwajima nikupinge mtaalamu wangu....

Yaap peace comrade!!!
 
Kwa pesa gani mliyokuwa nayo mchanje watu more than 70 million,, kwa resources gani mtaweza kuwabana wananchi wachome,,, mmeshindwa kusimamia enforcement ya shule ya msingi more than 12,000 kids wanaacha shule kila mwaka, mnashikilia chanjo iwe lazima kwan ww ukichanjwa na familia yako c mna kinga tayar,, unahofia nn tena wakat hamuwez kupata corona,,, acheni ujinga,, kama mtu akitaka kuchoma acha achome,,, kama yakimkuta ya kumkuta bas c ni yeye,,, mnajifanya mnajali sanaa kumbe hypocrites wakubwa
 
Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi,

haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati,

haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana,

Naomba serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma,

mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi,


huu ujinga tukiuvumilia utatucost,


chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
KWANI NANI KAKWAMBIA UKICHANJA NDO HUPATI COVID 19 ACHA UNGESE
 
Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi,

haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati,

haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana,

Naomba serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma,

mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi,


huu ujinga tukiuvumilia utatucost,


chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Wabongo bana wamesahau family planning ilivyoleta ongezeko la ugonjwa wa cancer sasa mnataka chanjo kachome mwenyewe
 
Inawezekana mnaokomaa na chanjo ndo wachache... Badili kauli... Sema haiwezekani wapuuzi wachache mchanje halafu werevu wengi wagome šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£
 
Ni upotevu wa akili, Muda na Mali kulazimisha watu wachanje kwa sabsbu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
 
Nitakua wa mwisho kuchanjwa.
Naanzaje kuchanjwa dhidi ya ugonjwa ambao hata haueleweki eleweki?
 
Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi,

haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati,

haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana,

Naomba serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma,

mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi,


huu ujinga tukiuvumilia utatucost,


chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Nakuunga mkono > 100%. Wasichanjwa wataendeleza maambukizi kwa wengine. Kukataa chanjo ni upuuzi.
 
Tuko tunapambana kuona ni jinsi gani janga la Corona linaisha kabisa tuendelee na mambo mengine, tumechoka kuzika viongozi kila mwezi,

haya mambi ya kubembeleza watu ambao wameshaungua akili yamepitwa na wakati,

haiwezekani wengine wachanjwe wengine wakatae waendelee kusambaza maambukizi huu si uungwana,

Naomba serikali iweke mda kabisa kufika mwezi January mwakani ambae hajapata chanjo hakuna kutoka ndani wala kwenda ofisi yyte ya Umma,

mtumishi wa Uma anayetoa huduma kama hataki chanjo Aache kazi,


huu ujinga tukiuvumilia utatucost,


chanjo ya muda mfupi, mbona ebora wakongo walipata chanjo mmesikia wamekufa?
Ili iwe lazima itabidi muwe na chanjo milioni 60. Sasa una chanjo milioni moja huo ulazima unaota ukiwa umegida k Vant au?
 
Back
Top Bottom