Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 453
- 376
Nawasalimu nyote.
Kwanza kabisa serikali mnafanya mengi mazuri.
Kuhusu suala la kupanda kwa bei ya petroli imekuwa pigo kubwa kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri kitu ambacho kinaumiza wengi.
Tanzania tuligundua gas nyingi huko kusini mwa Tanzania.
Nashauri serikali ianzishe na kuongeza mchakato wa upatikanaji wa gesi hii asilia ipatikane kwa urahisi zaidi.
TANGAS ipewe uwezo wa kufungua sheli nyingi zaidi za CNG na pia huduma ya kufunga mfumo wa gas katika magari uongezeke au serikali itoe ruzuku kwa DIT pia watu binafsi waweze kufunga mfumo wa GAS katika magari tuachane na mifumo hii ya petroli.
Hii itasaidia kwanza kupunguza upotevu wa fedha kwa wananchi.
Serikali kujiongezea mapato kwa kuuza gas yake.
Kusaidia usafi wa mazingira.
Wanaotumia mfumo wa gas CNG katika magari wanasema kwamba gas ni nafuu zaidi na inaenda kilimeter nyingi kuliko petroli mkuu.
Kwanza kabisa serikali mnafanya mengi mazuri.
Kuhusu suala la kupanda kwa bei ya petroli imekuwa pigo kubwa kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri kitu ambacho kinaumiza wengi.
Tanzania tuligundua gas nyingi huko kusini mwa Tanzania.
Nashauri serikali ianzishe na kuongeza mchakato wa upatikanaji wa gesi hii asilia ipatikane kwa urahisi zaidi.
TANGAS ipewe uwezo wa kufungua sheli nyingi zaidi za CNG na pia huduma ya kufunga mfumo wa gas katika magari uongezeke au serikali itoe ruzuku kwa DIT pia watu binafsi waweze kufunga mfumo wa GAS katika magari tuachane na mifumo hii ya petroli.
Hii itasaidia kwanza kupunguza upotevu wa fedha kwa wananchi.
Serikali kujiongezea mapato kwa kuuza gas yake.
Kusaidia usafi wa mazingira.
Wanaotumia mfumo wa gas CNG katika magari wanasema kwamba gas ni nafuu zaidi na inaenda kilimeter nyingi kuliko petroli mkuu.