Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,309
- 1,423
Kama mahakama imemuachia huru,na kumuona Hana hatiani nani wewe unaemhukumu? hata wewe unaweza kuwa fisadi,manaake sidhani kama bidhaa zote unazonunua huwa unadai risiti.Heri lingefia korokoroni fisadi hili papa kama Mengi. May you perish