Katika hii project nimevutiwa Sana na nguo zake ni nzuri sana kama unavyoona kwenye picha lakini tatizo la wasanii wengi wa Bongo wanaishiaga kuzivaa wao wenyewe na crew zao kwenye project waliyoitengeneza kwenye kipindi hicho, baada ya hapo nothing happened.
Ushauri wangu: Rayvanny hizo nguo ni kali sana, ni vizuri ukafanyia biashara usiishie tu kuvaa wewe mwenyewe pekee na zitauza kwelikweli, ukiangalia mwenyewe tu zinauzika bila hata promo kubwa kutokana na uzuri wake ni vizuri ushauri wangu akaufanyia kazi.