Hata kama haiwezekani kuajiri kwa mfumo ule ndo maana hata Samia kataoa ajira juzi watu wakaaply. Huo mfumo saiz hautakaa utokee!Leo kuna mahitaji ya walimu kuliko kipindi cha jk. Watoto ni wengi sana na utakuta mwl mmoja anafundisha physics shule nzima na drs moja lina watoto mia mbili na kuendelea. Kwa hiyo point yako haina msingi wowote