Ushauri wangu kwa Mzee Kikwete katika siasa za Tanzania ya Rais Samia

Usihangaike na idadi, ni kiasi gani cha pesa kilitumika? Eti hata shule za kata alijenga, michango ya lazima aliyoisema Heche na Lissu umeiweka wapi?

Muhimu akae kimya! Muda wake ulipita kwa hayo ya kwake. Profesa Kikwete aliahidi akistaafu ataomba kufundisha chuo kikuu au ndo hiyo kuteuliwa kuwa Chancellor?
Siafiki tabia ya kunyamazisha watu.
Kwanini akae kimya? Ni binadamu mwenye maoni yake ,si haki kumyamazisha.
 
Mgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?

Hata ajira ya kuokota chupa za plastic reject mitaani imeanza kipindi chake. Kafanyia taifa hili mambo mengi makubwa na madogo ya kukumbukwa na historia ya wino wa dhahabu,, hongera kwake.
 
Siafiki tabia ya kunyamazisha watu.
Kwanini akae kimya? Ni binadamu mwenye maoni yake ,si haki kumyamazisha.
Nawe bhana vipi? Kuna watu hawatakiwi kuwa ni wasema hovyo. Wakifungua domo tu, watakachokisema inakuwa ni mjadala. Baiden aliposema juu ya kifo cha kijana wake, media yote ikamsakama na kuhisi ana shida ya brain kwa kutosahau, lakini wewe na mimi unaweza hata ukalia kwa vurugu ukimkumbuka mchepuko wako. It was a stupid timing kwake kusifia Samia.
 
Msoga gang usiku kucha ni kuwaza watajinufaisha vipi na mapato ya nchi,huku wakijiona ni ma born town,kumbe matapeli tu.
 
Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.

Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.

Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.

Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.

Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.

Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Huyu na familia yake ilibidi anyanganywe asilimia 75%ya mali zake na familia,zitaifishwe ziwe mali za umma.
Mwaziri wakuu wote wastaafu,Malipo yao yasitishwe,wale pensheni tu kama watumishi wengine.
Bunge livunjwe,iundwe serikali ya mpito,iweke Katiba mpya,jeshi la polisi liundwe upya,usalama wa Taifa ifumuliwe.
Mtu akila Rushwa hata ya shilingi 1,kifungo Cha maisha na kazi ngumu,na kufilisiwa mali zake zote.
 
Hawa Msoga kiujumla ni wabnafsi sana, mwanaume wa shoka hayati kapiga shoo ya miaka mitano tu wakapoteana, wakaona isiwe tabu, wakampoteza, tunajua hilo,wasifikiri kukaa kimya huku ni bure, bali huku mbeleni kunamshindo dhidi ya hizi dhulma walizozoea
Veronica unaumia ukiwa wapi kwani😄
 
Hawa Msoga kiujumla ni wabnafsi sana, mwanaume wa shoka hayati kapiga shoo ya miaka mitano tu wakapoteana, wakaona isiwe tabu, wakampoteza, tunajua hilo,wasifikiri kukaa kimya huku ni bure, bali huku mbeleni kunamshindo dhidi ya hizi dhulma walizozoea
Umeongea kikamanda kabisa mkuu, salute Sana!
 
Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.

Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.

Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.

Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.

Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.

Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Mpuuzi wewe,Wai chato ukafagilie kaburi,unataka kikwete amsifie bwanaako
 
Hawa Msoga kiujumla ni wabnafsi sana, mwanaume wa shoka hayati kapiga shoo ya miaka mitano tu wakapoteana, wakaona isiwe tabu, wakampoteza, tunajua hilo,wasifikiri kukaa kimya huku ni bure, bali huku mbeleni kunamshindo dhidi ya hizi dhulma walizozoea
Kama KWELI wamempoteza dikteta,hawakukosea kwa 100%, Hizo chuki zenu kwa Samia na Kikwete ni kupoteza muda misukule ya dikteta Nyie
 
Mgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Wewe ulikuwa umeshazaliwa? Niulize mimi
Mgomo wa madaktari hadi kutekwa kwa ulimboka ilikuwa utawala wa nani? Kikwete alipoulizwa ajira alizotengeneza, nyingi alizotaja zilikuwa za wahudumu wa bar. Kwa nini wewe umeziona nyingi kuliko yeye?
Weweulikuwa umeshazaliwa ama? Kwa jk ajira za ualimu na madakatari ilikuwa ukimaliza tu hamna haja ya kuomba ajira unapangiwa moja kwa moja
 
Orodha ya baadhi ya mambo aliyoyafanya JK (Smart president)

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment kila mwaka
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.


Kama haujaridhika niongeze mengine.
Mkuuu mambo mengi ya ujenzi bila ya Magufuli hapo JK wako asingefanya lolote alikuwa anazurula tu kama pimbi!
 
Wewe ulikuwa umeshazaliwa? Niulize mimi

Weweulikuwa umeshazaliwa ama? Kwa jk ajira za ualimu na madakatari ilikuwa ukimaliza tu hamna haja ya kuomba ajira unapangiwa moja kwa moja
We hujielewi unataka mpaka leo watu wamalize chuo wote waajiriwe! Mfano walimu takribani elfu arobani kila mwaka waajiriwe? Mahitaji ya mda huo ndo yaliruhusu serkali ifanye hivyo!
 
Mkuuu mambo mengi ya ujenzi bila ya Magufuli hapo JK wako asingefanya lolote alikuwa anazurula tu kama pimbi!
Mizurulo ya JK ndiyo iliyosababisha miradi yote hiyo kufanyika bila kusababisha deni la taifa kuwa kubwa kama lilivyo sasa. Nadhani una data ya deni hilo wakati JK anaingia madarakani hadi anaondoka, na unajua hilo deni lilipo sasa.
 
Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.

Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.

Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.

Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.

Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.

Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Ushauri huu unafanana /unakaribiana na ule msemo wa "unajifanya msanii katika jumba la sanaa"..
Wengi wetu yawezekana hatufahamu tafsiri ya sayansi ya siasa ya sanaa.
 
Wengine urais utausikia tuu huwezu kuupata hata familia yenu hakuna hata balozi wa nyumba kumi
 
Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.

Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.

Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.

Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.

Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.

Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Wivu wa kijinga tu yan kikwete ndani utawala wake miaka 10 hakufanya kitu? Acha chuki
wewe



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
We hujielewi unataka mpaka leo watu wamalize chuo wote waajiriwe! Mfano walimu takribani elfu arobani kila mwaka waajiriwe? Mahitaji ya mda huo ndo yaliruhusu serkali ifanye hivyo!
Leo kuna mahitaji ya walimu kuliko kipindi cha jk. Watoto ni wengi sana na utakuta mwl mmoja anafundisha physics shule nzima na drs moja lina watoto mia mbili na kuendelea. Kwa hiyo point yako haina msingi wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom