Usinipite mwokozi
Member
- Feb 14, 2021
- 60
- 59
Salaam,
Juzi umepokea hundi yenye thamani zaidi ya 700ml. Kutoka kampuni yenye migodi ya Buzwagi na Kakola ya Twiga Baricck Gold Mine.
Ni fedha nyingi hizo pamoja na fedha zingine unazokusanya katika vyanzo vyako vya mapato.
Ushauri wangu kwako, najua una changamoto nyingi katika wilaya yako, kv. Barabara, hosp, nk. Ukiamua kuelekeza hizi fedha ktk ujenzi wa barabara hutamaliza mtandao wote wa barabara mtk wilaya yako, kadhalika ktk ujenzi wa madarasa na hosp.
Napendekeza ununue MITAMBO MIPYA YA UJENZI WA BARABARA KV. EXCAVATOR, ROLLER COMPACTOR, NA GREADER aina ya CAT. Maana matipa waweza kukodi.
Baada ya kununua sajili kampuni ya ujenzi ambayo utaajiri wahandisi watakaolipwa kwa % ktk kazi wanazofanya. Hii maana yake, hata unapojenga barabara za ndani ya wilaya yako, kampuni hii ya halmashauri ya wilaya ya Nyang'wale muilipe lakini pia, ifanye na kazi ktk maeneo mengine haijalishi ni project za serikali au za makampuni.
Hii itasaidia:
1. Ajira
2. Kuiongezea h/mashauri mapato
3. Kujenga mtandao wa barabara zako kwa mda unaotakiwa.
Maana ukiziingiza hizo hela kulipa wakandarasi. Utajenga kweli lakini zitaisha hela na baada ya muda utahitaji pesa tena kukarabati.
Lakini ukiwa na mitambo katika mfumo wa kampuni utajenga mpaka shule na mahosp kupitia faida za hiyo kampuni.
Nawasilisha tafadhali.
By usinipite mwokozi, ukitaka ushauri zaidi ni in box.
Juzi umepokea hundi yenye thamani zaidi ya 700ml. Kutoka kampuni yenye migodi ya Buzwagi na Kakola ya Twiga Baricck Gold Mine.
Ni fedha nyingi hizo pamoja na fedha zingine unazokusanya katika vyanzo vyako vya mapato.
Ushauri wangu kwako, najua una changamoto nyingi katika wilaya yako, kv. Barabara, hosp, nk. Ukiamua kuelekeza hizi fedha ktk ujenzi wa barabara hutamaliza mtandao wote wa barabara mtk wilaya yako, kadhalika ktk ujenzi wa madarasa na hosp.
Napendekeza ununue MITAMBO MIPYA YA UJENZI WA BARABARA KV. EXCAVATOR, ROLLER COMPACTOR, NA GREADER aina ya CAT. Maana matipa waweza kukodi.
Baada ya kununua sajili kampuni ya ujenzi ambayo utaajiri wahandisi watakaolipwa kwa % ktk kazi wanazofanya. Hii maana yake, hata unapojenga barabara za ndani ya wilaya yako, kampuni hii ya halmashauri ya wilaya ya Nyang'wale muilipe lakini pia, ifanye na kazi ktk maeneo mengine haijalishi ni project za serikali au za makampuni.
Hii itasaidia:
1. Ajira
2. Kuiongezea h/mashauri mapato
3. Kujenga mtandao wa barabara zako kwa mda unaotakiwa.
Maana ukiziingiza hizo hela kulipa wakandarasi. Utajenga kweli lakini zitaisha hela na baada ya muda utahitaji pesa tena kukarabati.
Lakini ukiwa na mitambo katika mfumo wa kampuni utajenga mpaka shule na mahosp kupitia faida za hiyo kampuni.
Nawasilisha tafadhali.
By usinipite mwokozi, ukitaka ushauri zaidi ni in box.