Reagan aliwahi kusema "Peace through strengh" hili muweze kuheshimiana na mpinzani wako awe adui au hata jirani mwema.
chadema sasa tumeshaona jinsi serikali dhalimu ya CCM inavyowadhalilisha viongozi wetu tutaendelea kuingalia hali hii mpaka lini ?
in my opinion ili serikali hii dhalimu tuanze kuheshimiana dawa yao sisi kama chadema kuunda kikosi kabambe cha kulinda viongozi
wetu kuhakikisha aibu na udharirishaji uliotokea Arusha wakati wa maandamano ya APRIL mwaka huu ya viongozi wetu kupigwa virungu
haitokei tena ndani ya nchi hii. Tuunde kikosi maalum cha vijana wakakamavu ambao hata itokee nini lazima kuakikisha viongozi wanalindwa
kwa gharama yeyote ile kutokana na udharirishaji wa polisi tutawaheshimu polisi pindi tu watakapowaheshimu viongozi wetu kama ni kukamatwa basi iwe ni kwa ustaharabu na hakuna hali yeyote ya udharirishaji wa kupigana virungu kwani tutakuwa tayari kupambana na yeyote atakajaribu kumjeruhi kiongozi yeyote eti kwa excuse ya kulinda usalama.
bila kuchukua hatua hii ya sisi kuunda machinery ya nguvu ya kuweza kujilinda kutokana na udhalilishaji wa polisi basi tusishangae vitendo
hivi vya udharirishaji wa viongozi vikiendelea wakati wa maandamano yetu yeyote tutakayoyafanya. ni lazima tujenge uwezo wa kukabiliana na
mabavu ya polisi pale wanapokosa ustaharabu bila hivyo polisi wataendelea kutuchezea kila siku. Njia pekee ya kuwafanya polisi kuwa wastaarabu ni pale tu sisi tutapojenga uwezo wa kuweza kukabiliana nao mara wanapovuka mipaka tu na si vinginevyo.
chadema sasa tumeshaona jinsi serikali dhalimu ya CCM inavyowadhalilisha viongozi wetu tutaendelea kuingalia hali hii mpaka lini ?
in my opinion ili serikali hii dhalimu tuanze kuheshimiana dawa yao sisi kama chadema kuunda kikosi kabambe cha kulinda viongozi
wetu kuhakikisha aibu na udharirishaji uliotokea Arusha wakati wa maandamano ya APRIL mwaka huu ya viongozi wetu kupigwa virungu
haitokei tena ndani ya nchi hii. Tuunde kikosi maalum cha vijana wakakamavu ambao hata itokee nini lazima kuakikisha viongozi wanalindwa
kwa gharama yeyote ile kutokana na udharirishaji wa polisi tutawaheshimu polisi pindi tu watakapowaheshimu viongozi wetu kama ni kukamatwa basi iwe ni kwa ustaharabu na hakuna hali yeyote ya udharirishaji wa kupigana virungu kwani tutakuwa tayari kupambana na yeyote atakajaribu kumjeruhi kiongozi yeyote eti kwa excuse ya kulinda usalama.
bila kuchukua hatua hii ya sisi kuunda machinery ya nguvu ya kuweza kujilinda kutokana na udhalilishaji wa polisi basi tusishangae vitendo
hivi vya udharirishaji wa viongozi vikiendelea wakati wa maandamano yetu yeyote tutakayoyafanya. ni lazima tujenge uwezo wa kukabiliana na
mabavu ya polisi pale wanapokosa ustaharabu bila hivyo polisi wataendelea kutuchezea kila siku. Njia pekee ya kuwafanya polisi kuwa wastaarabu ni pale tu sisi tutapojenga uwezo wa kuweza kukabiliana nao mara wanapovuka mipaka tu na si vinginevyo.