Ushauri wangu kwa CHADEMA na mbunge wao mmoja wa jimbo (Aida Khenan - Nkasi - Rukwa) na wale wa viti maalumu + madiwani

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
Honestly, hata mimi ningekuwa kwenye nafasi ya CHADEMA, ningepata shida sana kuamua hatima ya mbunge Aida Khenan na madiwani wake 10 na wengine watano toka maeneo mengine ambao "inadhaniwa walishinda"..

Natumia kauli ya " inadhaniwa walishinda", kwa maana nzuri kabisa..

Magufuli na CCM pamoja na serikali yao, wamelifanya hili kimkakati. Aida Khenan obviously, hakushinda just for the sake ya kushinda..

Huyu awe alishinda au hakushinda, ni kuwa alichaguliwa atangazwe "ameshinda" kimkakati na kwa lengo maalumu la watawala wa CCM..

Aida Khenan anaweza kuwa alilijua hili ama hakuwa analijua kabisa. Anachojua yeye ni kitu kimoja tu; Ni mshindi wa ubunge jimbo la Nkasi, Rukwa...!!

Sasa "mkakati huu" na "lengo (purpose)" hii ya CCM ndiyo CHADEMA inayopaswa kui - dig deep inside ijue na kisha iweze kufanya maamuzi sahihi based on that..

Honestly, mimi nina hakika kabisa CHADEMA wako very concerned na huyu mama na ubunge wake as an individual. Wanajua kuwa ubunge ni ajira na huyu mama anaihitaji ajira hiyo kwa udi na uvumba. Si rahisi kumwambia aikatae..

Nina uhakika, si nia wala lengo la CHADEMA ku - jeopardize ubunge wa Aida Khenan na udiwani wa wale wengine 15 Tanzania nzima..

However, the decision has to be made..

Ishu ni kuwa, CHADEMA na upinzani kwa ujumla unapambana na "mfumo dhalimu na hatari" wa utawala wa CCM..

Kamwe, CHADEMA hawapambani na Aida Khenan mbunge mmoja wa Jimbo...!

Kamwe, CHADEMA Hawapambani na wabunge wa viti maalumu...!

Na kamwe CHADEMA, hawapambani na madiwani wachache waliochaguliwa...!

For sure, all of these (Aida Khenan, special seats - women MPs & Councillors) are the victims of circumstances...

Katika mapambano haya, on the way, there's a lot of sacrifices to make..

Mathalani; maamuzi ya mbunge huyu kutokwenda kuapa na kutoteua wale wabunge wachache wa viti maalumu based on kigezo cha kura za urais maana yake ni chama kuwa tayari kukosa hata ruzuku kidogo ya Tshs (60,000,000 au 80,000,000 - my estimation) kwa mwezi...!!

On the other hand, maana yake ni kuwa wabunge wao (CHADEMA) hawa wote wakose ubunge (ajira) na waathirike wao, wanaowategemea na familia zao..!

This is unbearable price to pay. This is a big sacrifice one can afford to pay..!

Swali ni; ITAWEZEKANA???.

Jibu la swali hili ni rahisi sana na la moja kwa moja ofcoz...

Kwamba, it's absolutely impossible, at least on the individuals, wabunge na madiwani..!!

Na hapa ndipo ile kanuni ya "divide and rule" inapofanya kazi kwa ufanisi na inatumiwa na CCM na Magufuli kikamilifu...

Sasa nini kifanyike?

Kwa maoni yangu, napendekeza yafuatayo;

1. Aida Khenan, mbunge pekee wa kuchaguliwa wa jimbo la Nkasi, Rukwa (CHADEMA) aachwe aende akaape na awe mbunge rasmi..

Wote tunafahamu, ubunge ni ajira moja nzuri sana ya kisiasa na yenye malipo na marupurupu mazuri pengine kuliko ajira zote Tanzania..

Moyo wake uko hapo. Hata wafanyeje, CHADEMA hawataweza kumzuia huyu mama kwenda kuapa na atasundikizwa hata na polisi. So, peacefully, aachwe aende..

2. CHADEMA, wasisite kuteua wabunge wa viti maalumu pamoja na madiwani. Baada ya kuwateua waandaliwe kisaikolojia kwa maamuzi ya chama yatakayofuata, kwamba, pamoja na kuwa mnateuliwa, lakini chama kitawavua uanachama baadaye...

3. Baada ya michakato hii kufanyika, ndipo chama kije na tamko la kuwafuta uanachama wote walioasi maamuzi ya chama...

Hii ndiyo politics. Ni lazima wawe smart na sometimes a little bit rough to beat your enemy..

4. Tukumbuke kitu kimoja, game itakuwa haijaisha bado. Ndo tu itakuwa imeanza. Na obviously, ndivyo itavyokuwa...

NI HIVI;

Job Ndugai atachaguliwa na ataendelea kuwa Spika wa bunge la 12 bila shaka. Mchezo uliofanyika bunge la 11, utaendelea. Hatatambua maamuzi ya CHADEMA. Ataendelea kuwatambua hao kama wabunge halali wa bunge lake..

Kwa kufanya hivi, chama kitakuwa kimesimamia principles zake na kulinda heshima yake na wakati huohuo hawa wenye shida ya ubunge na udiwani wanakuwa wanaendelea kufurahia ajira zao..

I know hii ina impacts yake kisiasa tena kubwa tu. Lakini better this way than any other way around..

Asanteni kwa kunisoma..
 
Honestly, hata mimi ningekuwa kwenye nafasi ya CHADEMA, ningepata shida sana kuamua hatima ya mbunge Aida Khenan na madiwani wake 10 na wengine watano toka maeneo mengine ambao "inadhaniwa walishinda"..

Natumia kauli ya " inadhaniwa walishinda", kwa maana ili nzuri kabisa..

Magufuli na CCM pamoja na serikali yao, wamelifanya hili kimkakati. Aida Khenan obviously, hakushinda just for the sake ya kushinda..

Huyu awe alishinda au hakushinda, ni kuwa alichaguliwa atangazwe "ameshinda" kimkakati na kwa lengo maalumu la watawala..

Aida Khenan anaweza kuwa alilijua hili ama hakuwa analijua kabisa. Anachojua yeye ni mshindi wa ubunge jimbo la Nkasi (kama sijakosea)...

Sasa "mkakati huu" na "lengo (purpose)" hii ya CCM ndiyo CHADEMA inayopaswa kui - dig deep inside ililijue na kisha kufanya maamuzi based on that..

Honestly, mimi nina hakika kabisa CHADEMA wako very concerned na huyu mama na ubunge wake..

Nina uhakika, si nia wala lengo la CHADEMA ku - jeopardize ubunge wa Aida Khenan na udiwani wa wale wengine 15 Tanzania nzima..

However, the decision has to be made..

Ishu ni kuwa, CHADEMA na upinzani kwa ujumla unapambana na "mfumo dhalimu na hatari" wa utawala wa CCM..

CHADEMA hawapambani Aida Khenan mbunge mmoja wa Jimbo. Hawapambani na wabunge wa viti maalumu. Na hawapambani na madiwani wachache waliochaguliwa...

For sure, all of these (Aida Khenan, special seats - women MPs & Councillors) are the victims of circumstances...

Katika mapambano haya, on the way, there's a lot of sacrifices to make..

Mathalani; maamuzi ya mbunge huyu kutokwenda kuapa na kutoteua wale wabunge wachache wa viti maalumu based on kigezo cha kura za urais maana yake ni chama kuwa tayari kukosa hata ruzuku kidogo ya Tshs (60,000,000 au 80,000,000) kwa mwezi...!!

On the other hand, maana yake ni kuwa wabunge wao (CHADEMA) hawa wote wakose ubunge (ajira) na waathirike wao, wanaowategemea na familia zao..!

This is unbearable price to pay. This is a big sacrifice one can afford to pay..!

Swali ni itawezekana??.

Jibu la swali hili ni rahisi sana na la moja kwa moja ofcoz...

Kwamba, it's absolutely impossible, at least on the individuals, wabunge na madiwani..!!

Na hapa ndipo ile kanuni ya "divide and rule" inapofanya kazi kwa ufanisi..

Sasa nini kifanyike?

Kwa maoni yangu, napendekeza yafuatayo;

1. Aida Khenan, mbunge pekee wa kuchaguliwa wa Nkasi, Rukwa (CHADEMA) aachwe aende akaape na awe mbunge rasmi..

Wote tunafahamu, ubunge ni ajira moja nzuri sana ya kisiasa na yenye marupurupu mazuri pengine kuliko ajira zote Tanzania..

Moyo wake uko hapo. Hata wafanyeje, CHADEMA hawataweza kumzuia huyu mama. Aachwe aende..

2. CHADEMA, wasisite kuteua wabunge wa viti maalumu pamoja na madiwani. Baada ya kuwateua waandaliwe kisaikolojia kwa maamuzi ya chama yatakayofuata, kwamba, pamoja na kuwa mnateuliwa, lakini chama kitawavua uanachama baadaye...

3. Baada ya michakato hii kufanyika, ndipo chama kije na tamko la kuwafuta uanachama wote walioasi maamuzi ya chama.

Hii ndiyo politics. Ni lazima wawe smart na sometimes a little bit rough to beat your enemy..

4. Tukumbuke kitu kimoja, game itakuwa haijaisha. Na obviously, ndivyo itavyokuwa...

Kwamba, Job Ndugai ataendelea kuwa Spika wa bunge la 12. Mchezo uliofanyika bunge la 11, utaendelea. Hatatambua maamuzi ya CHADEMA. Ataendelea kuwatambua hao kama wabunge halali wa bunge lake..

Kwa kufanya hivi, chama kitakuwa kimesimamia principles zake na kulinda heshima yake na wakati huohuo hawa wenye shida ya ubunge na ufiwani wanakuwa wanaendelea kufurahia ajira zao..

I know hii ina impacts yake kisiasa. Lakini better this way than any other way around..

Asanteni kwa kunisoma..
NINGEKUWA MIMI NINGEJITOA KABLA SIJAFUKUZWA NA CHAMA CHANGU HATA KAMA MSHAHARA NI MTAMU.USHAURI KWA CHAMA HAWA WATU WANATAKIWA WAVULIWE UWANACHA.WAARUHUSIWE NA CCM KUINGIA BUNGENI
 
Chadema hawapo tayari kukosa pesa za Ruzuku, watapiga Siasa mwishowe wataruhusu wale kina Mama waende bungeni kwa kuwa miongoni mwao ni watu wao kina Halima Mdee na muhimu zaidi ni mamilion ya Ruzuku wanayopokea kutoka Serikali ya CCM
 
Huyo dada nilishindwa kumuelewa kwa kuhudhuria kwake sherehe za kuapishwa Magufuli, na kutokana na tetesi zinazoendelea kusambaa kwa sasa kuwa Ndugai na Jiwe wanawashawishi wabunge wa Chadema kukubali viti maalum kwa ahadi ya mmoja kuwa KUB, na mwingine anapewa uenyekiti wa Bunge, sasa naamini huyo dada sio mtu mzuri, anatumiwa na CCM kuwatafuta watu toka Chadema ndio maana misimamo yake inayumba.

Chadema wawe makini sana kwenye hili, inaonekana hapa kuna lengo la kutengeneza mvutano wa ndani kwa ndani, CCM wanataka kuwaweka watu wao kutoka Chadema.
 
Chadema hawapo tayari kukosa pesa za Ruzuku, watapiga Siasa mwishowe wataruhusu wale kina Mama waende bungeni kwa kuwa miongoni mwao ni watu wao kina Halima Mdee na muhimu zaidi ni mamilion ya Ruzuku wanayopokea kutoka Serikali ya CCM

Ofcoz, ni mtego huu..

Swali, are they ready to offer this unbearable sacrifice?

Ukweli ni kuwa, mapambano ndani ya mifumo ya kiutawala na kisiasa ya namna hii ni vigumu sana..!!
 
Huyo dada nimeshindwa kumuelewa kwa kuhudhuria kwake sherehe za kuapishwa Magufuli, kutokana na tetesi zinazoendelea kusambaa kuwa Ndugai na Jiwe wanawashawishi wabunge wa Chadema kukubali
I said kuwa, hata kutangazwa huyu mama kuwa "mshindi" ktk jimbo ambalo hakuna mtu alidhania CHADEMA itashinda, ni political strategy ya watawala..

Kama hili unalosema linafanyika, then ni njia ya kuhakikisha mkakati wao hauishii njiani..

Ushauri wangu huu, uta "outsmart" mkakati wao..

Kwa sababu hii njia wanayotaka kuitumia CHADEMA, haitafanikiwa kwa sbb hakuna mbunge au diwani atakayetii agizo hili at this preliminary stage..!!
 
I said kuwa, hata kutangazwa huyu mama kuwa "mshindi" ktk jimbo ambalo hakuna mtu alidhania CHADEMA itashinda, ni political strategy ya watawala..

Kama hili unalosema linafanyika, then ni njia ya kuhakikisha mkakati wao hauishii njiani..

Ushauri wangu huu, uta "outsmart" mkakati wao..

Kwa sababu hii njia wanayotaka kuitumia CHADEMA, haitafanikiwa kwa sbb hakuna mbunge au diwani atakayetii agizo hili at this preliminary stage..!!
Nilikuwa siamini hiki kitu sasa naanza kuamini. Inawezekana hiyo kazi ya kuwashawishi wabunge toka Chadema wakubali hizo nafasi za viti maalum alipewa baada ya kutoka kwenye zile sherehe za kuapishwa Magufuli.

Jamaa wana mipango ya kishamba sana.

Mkuu, hapa mimi naona Chadema wapeleke wale wabishi wao tuliowazoea, the likes of Mdee, Bulaya, Matiko, Ruge, kutafuta wengine wapya kwenye hili ndio wanaweza kushawishiwa na CCM mbele ya safari wafanye uhuni.
 
Waache tuu wakina mama wapige pesa za ubunge,wao wajipange 2025
 
Nimekusoma nimekuelewa, Hoja yako kuu ni hofu kwa Chadema kukosa ruzuku, ndiyo maana unapendekeza wabunge wa viti maalum wakaape e then huko mbele wavuliwe uanachama. Hili nalipinga sikubaliani nalo. Nakukumbusha kuwa, Siasa ni science ina principle zake, nashauri principle hizo zifuatwe.

Nasisitiza tena, kukubali kuteua wabunge wa viti maalum ni sawa na kukubali uchaguzi kuwa ulikuwa huru na wa haki, Je Chadema iko tayari kufanya hayo kwa sababu ya ruzuku??? hili linahitajika tafakuri pana sana kulijibu.

Tatu, Naishauri chadema isishiriki hata kidogo kwenye bunge la ma ccm, Ijikite kujenga chama upya, ianzishe fundraising kwa ajili ya kuendesha chama. Hii itatusaidia kujua ni nani hasa mpinzani wa kweli ni nani hasa yuko tayari kuendelea kuisimamia haki na kukitumikia chama bila kuwa na masirahi makubwa ndani ya chama.
 
Nilikuwa siamini hiki kitu sasa naanza kuamini. Inawezekana hiyo kazi ya kuwashawishi wabunge toka Chadema wakubali hizo nafasi za viti maalum alipewa baada ya kutoka kwenye zile sherehe za kuapishwa Magufuli.

Jamaa wana mipango ya kishamba sana.

Mkuu, hapa mimi naona Chadema wapeleke wale wabishi wao tuliowazoea, the likes of Mdee, Bulaya, Matiko, Ruge, kutafuta wengine wapya kwenye hili ndio wanaweza kushawishiwa na CCM mbele ya safari wafanye uhuni.

Yes, watoe okay kwa viti maalumu kwenda bungeni..

Wasiogope. Kuacha hatasiadia..

There's other ways kupambania hili..

Najua hofu yao ni genuine kabisa..

Wanaaamini kuwa, kushirikiana nao ni kuunga mkono na kuhalalisha udhalimu wa wizi wa kura liotendeka ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020..

Yes, it's a tough decision but there must be a way forward...
 
Honestly, hata mimi ningekuwa kwenye nafasi ya CHADEMA, ningepata shida sana kuamua hatima ya mbunge Aida Khenan na madiwani wake 10 na wengine watano toka maeneo mengine ambao "inadhaniwa walishinda"..

Natumia kauli ya " inadhaniwa walishinda", kwa maana nzuri kabisa..

Magufuli na CCM pamoja na serikali yao, wamelifanya hili kimkakati. Aida Khenan obviously, hakushinda just for the sake ya kushinda..

Huyu awe alishinda au hakushinda, ni kuwa alichaguliwa atangazwe "ameshinda" kimkakati na kwa lengo maalumu la watawala wa CCM..

Aida Khenan anaweza kuwa alilijua hili ama hakuwa analijua kabisa. Anachojua yeye ni kitu kimoja tu; Ni mshindi wa ubunge jimbo la Nkasi, Rukwa...!!

Sasa "mkakati huu" na "lengo (purpose)" hii ya CCM ndiyo CHADEMA inayopaswa kui - dig deep inside ijue na kisha iweze kufanya maamuzi sahihi based on that..

Honestly, mimi nina hakika kabisa CHADEMA wako very concerned na huyu mama na ubunge wake as an individual. Wanajua kuwa ubunge ni ajira na huyu mama anaihitaji ajira hiyo kwa udi na uvumba. Si rahisi kumwambia aikatae..

Nina uhakika, si nia wala lengo la CHADEMA ku - jeopardize ubunge wa Aida Khenan na udiwani wa wale wengine 15 Tanzania nzima..

However, the decision has to be made..

Ishu ni kuwa, CHADEMA na upinzani kwa ujumla unapambana na "mfumo dhalimu na hatari" wa utawala wa CCM..

Kamwe, CHADEMA hawapambani na Aida Khenan mbunge mmoja wa Jimbo...!

Kamwe, CHADEMA Hawapambani na wabunge wa viti maalumu...!

Na kamwe CHADEMA, hawapambani na madiwani wachache waliochaguliwa...!

For sure, all of these (Aida Khenan, special seats - women MPs & Councillors) are the victims of circumstances...

Katika mapambano haya, on the way, there's a lot of sacrifices to make..

Mathalani; maamuzi ya mbunge huyu kutokwenda kuapa na kutoteua wale wabunge wachache wa viti maalumu based on kigezo cha kura za urais maana yake ni chama kuwa tayari kukosa hata ruzuku kidogo ya Tshs (60,000,000 au 80,000,000 - my estimation) kwa mwezi...!!

On the other hand, maana yake ni kuwa wabunge wao (CHADEMA) hawa wote wakose ubunge (ajira) na waathirike wao, wanaowategemea na familia zao..!

This is unbearable price to pay. This is a big sacrifice one can afford to pay..!

Swali ni; ITAWEZEKANA???.

Jibu la swali hili ni rahisi sana na la moja kwa moja ofcoz...

Kwamba, it's absolutely impossible, at least on the individuals, wabunge na madiwani..!!

Na hapa ndipo ile kanuni ya "divide and rule" inapofanya kazi kwa ufanisi na inatumiwa na CCM na Magufuli kikamilifu...

Sasa nini kifanyike?

Kwa maoni yangu, napendekeza yafuatayo;

1. Aida Khenan, mbunge pekee wa kuchaguliwa wa jimbo la Nkasi, Rukwa (CHADEMA) aachwe aende akaape na awe mbunge rasmi..

Wote tunafahamu, ubunge ni ajira moja nzuri sana ya kisiasa na yenye malipo na marupurupu mazuri pengine kuliko ajira zote Tanzania..

Moyo wake uko hapo. Hata wafanyeje, CHADEMA hawataweza kumzuia huyu mama kwenda kuapa na atasundikizwa hata na polisi. So, peacefully, aachwe aende..

2. CHADEMA, wasisite kuteua wabunge wa viti maalumu pamoja na madiwani. Baada ya kuwateua waandaliwe kisaikolojia kwa maamuzi ya chama yatakayofuata, kwamba, pamoja na kuwa mnateuliwa, lakini chama kitawavua uanachama baadaye...

3. Baada ya michakato hii kufanyika, ndipo chama kije na tamko la kuwafuta uanachama wote walioasi maamuzi ya chama...

Hii ndiyo politics. Ni lazima wawe smart na sometimes a little bit rough to beat your enemy..

4. Tukumbuke kitu kimoja, game itakuwa haijaisha bado. Ndo tu itakuwa imeanza. Na obviously, ndivyo itavyokuwa...

NI HIVI;

Job Ndugai atachaguliwa na ataendelea kuwa Spika wa bunge la 12 bila shaka. Mchezo uliofanyika bunge la 11, utaendelea. Hatatambua maamuzi ya CHADEMA. Ataendelea kuwatambua hao kama wabunge halali wa bunge lake..

Kwa kufanya hivi, chama kitakuwa kimesimamia principles zake na kulinda heshima yake na wakati huohuo hawa wenye shida ya ubunge na udiwani wanakuwa wanaendelea kufurahia ajira zao..

I know hii ina impacts yake kisiasa tena kubwa tu. Lakini better this way than any other way around..

Asanteni kwa kunisoma..
Maamzi ya awali ya chadema yalishakataa tayari kutotambua ushindi wowote nchi nzima wa Chadema.
 
Honestly, hata mimi ningekuwa kwenye nafasi ya CHADEMA, ningepata shida sana kuamua hatima ya mbunge Aida Khenan na madiwani wake 10 na wengine watano toka maeneo mengine ambao "inadhaniwa walishinda"..

Natumia kauli ya " inadhaniwa walishinda", kwa maana nzuri kabisa..

Magufuli na CCM pamoja na serikali yao, wamelifanya hili kimkakati. Aida Khenan obviously, hakushinda just for the sake ya kushinda..

Huyu awe alishinda au hakushinda, ni kuwa alichaguliwa atangazwe "ameshinda" kimkakati na kwa lengo maalumu la watawala wa CCM..

Aida Khenan anaweza kuwa alilijua hili ama hakuwa analijua kabisa. Anachojua yeye ni kitu kimoja tu; Ni mshindi wa ubunge jimbo la Nkasi, Rukwa...!!

Sasa "mkakati huu" na "lengo (purpose)" hii ya CCM ndiyo CHADEMA inayopaswa kui - dig deep inside ijue na kisha iweze kufanya maamuzi sahihi based on that..

Honestly, mimi nina hakika kabisa CHADEMA wako very concerned na huyu mama na ubunge wake as an individual. Wanajua kuwa ubunge ni ajira na huyu mama anaihitaji ajira hiyo kwa udi na uvumba. Si rahisi kumwambia aikatae..

Nina uhakika, si nia wala lengo la CHADEMA ku - jeopardize ubunge wa Aida Khenan na udiwani wa wale wengine 15 Tanzania nzima..

However, the decision has to be made..

Ishu ni kuwa, CHADEMA na upinzani kwa ujumla unapambana na "mfumo dhalimu na hatari" wa utawala wa CCM..

Kamwe, CHADEMA hawapambani na Aida Khenan mbunge mmoja wa Jimbo...!

Kamwe, CHADEMA Hawapambani na wabunge wa viti maalumu...!

Na kamwe CHADEMA, hawapambani na madiwani wachache waliochaguliwa...!

For sure, all of these (Aida Khenan, special seats - women MPs & Councillors) are the victims of circumstances...

Katika mapambano haya, on the way, there's a lot of sacrifices to make..

Mathalani; maamuzi ya mbunge huyu kutokwenda kuapa na kutoteua wale wabunge wachache wa viti maalumu based on kigezo cha kura za urais maana yake ni chama kuwa tayari kukosa hata ruzuku kidogo ya Tshs (60,000,000 au 80,000,000 - my estimation) kwa mwezi...!!

On the other hand, maana yake ni kuwa wabunge wao (CHADEMA) hawa wote wakose ubunge (ajira) na waathirike wao, wanaowategemea na familia zao..!

This is unbearable price to pay. This is a big sacrifice one can afford to pay..!

Swali ni; ITAWEZEKANA???.

Jibu la swali hili ni rahisi sana na la moja kwa moja ofcoz...

Kwamba, it's absolutely impossible, at least on the individuals, wabunge na madiwani..!!

Na hapa ndipo ile kanuni ya "divide and rule" inapofanya kazi kwa ufanisi na inatumiwa na CCM na Magufuli kikamilifu...

Sasa nini kifanyike?

Kwa maoni yangu, napendekeza yafuatayo;

1. Aida Khenan, mbunge pekee wa kuchaguliwa wa jimbo la Nkasi, Rukwa (CHADEMA) aachwe aende akaape na awe mbunge rasmi..

Wote tunafahamu, ubunge ni ajira moja nzuri sana ya kisiasa na yenye malipo na marupurupu mazuri pengine kuliko ajira zote Tanzania..

Moyo wake uko hapo. Hata wafanyeje, CHADEMA hawataweza kumzuia huyu mama kwenda kuapa na atasundikizwa hata na polisi. So, peacefully, aachwe aende..

2. CHADEMA, wasisite kuteua wabunge wa viti maalumu pamoja na madiwani. Baada ya kuwateua waandaliwe kisaikolojia kwa maamuzi ya chama yatakayofuata, kwamba, pamoja na kuwa mnateuliwa, lakini chama kitawavua uanachama baadaye...

3. Baada ya michakato hii kufanyika, ndipo chama kije na tamko la kuwafuta uanachama wote walioasi maamuzi ya chama...

Hii ndiyo politics. Ni lazima wawe smart na sometimes a little bit rough to beat your enemy..

4. Tukumbuke kitu kimoja, game itakuwa haijaisha bado. Ndo tu itakuwa imeanza. Na obviously, ndivyo itavyokuwa...

NI HIVI;

Job Ndugai atachaguliwa na ataendelea kuwa Spika wa bunge la 12 bila shaka. Mchezo uliofanyika bunge la 11, utaendelea. Hatatambua maamuzi ya CHADEMA. Ataendelea kuwatambua hao kama wabunge halali wa bunge lake..

Kwa kufanya hivi, chama kitakuwa kimesimamia principles zake na kulinda heshima yake na wakati huohuo hawa wenye shida ya ubunge na udiwani wanakuwa wanaendelea kufurahia ajira zao..

I know hii ina impacts yake kisiasa tena kubwa tu. Lakini better this way than any other way around..

Asanteni kwa kunisoma..
Huyu pamoja na kuchaguliwa, amekua akisema Mambo ambayo yako against na viongozi, alitakiwa kukaa kimia na kusubili USHAURI wa viongozi wake kuliko kuanza kujimwambafai
So chama ni zaidi ya mtu yoyote, nashauri atimuliwe uanachama, fasta hiki ni kipindi sio Cha kumchekea mtu,
 
Nimekusoma nimekuelewa, Hoja yako kuu ni hofu kwa Chadema kukosa ruzuku, ndiyo maana unapendekeza wabunge wa viti maalum wakaape e then huko mbele wavuliwe uanachama. Hili nalipinga sikubaliani nalo. Nakukumbusha kuwa, Siasa ni science ina principle zake, nashauri principle hizo zifuatwe.

Nasisitiza tena, kukubali kuteua wabunge wa viti maalum ni sawa na kukubali uchaguzi kuwa ulikuwa huru na wa haki, Je Chadema iko tayari kufanya hayo kwa sababu ya ruzuku??? hili linahitajika tafakuri pana sana kulijibu.

Tatu, Naishauri chadema isishiriki hata kidogo kwenye bunge la ma ccm, Ijikite kujenga chama upya, ianzishe fundraising kwa ajili ya kuendesha chama. Hii itatusaidia kujua ni nani hasa mpinzani wa kweli ni nani hasa yuko tayari kuendelea kuisimamia haki na kukitumikia chama bila kuwa na masirahi makubwa ndani ya chama.

Asante sana..

Hapana, nadhani hukuipata vyema hoja yangu..

Ingekuwa hofu yangu ni CHADEMA kuogopa kukosa ruzuku, nisingesema, "baadaye chama kitoe tamko la kuwavua uanachama wote hao"..

Ndiyo, mwanzo kwa hatua ya kuteua wabunge wa viti maalumu itaonekana ni kukubaliana na mchakato wote wa uchaguzi mkuu..

Lakini, kama ulivyosema kuwa " siasa ni sayansi", nami nakubaliana kabisa na wewe..

Lakini wakati huohuo, siasa sometimes ni fitna na CCM wanazifanya kwelikweli fitna..

Kwa kifupi, pendekezo na mtazamo wako ni mzuri sana tu..

Ishu, ni wao CHADEMA kuamua which way to go wakizingatia future yao..
Mnatakiwa kupeleka majina 22 ya wabunge wa viti maalum.

Sasa ni kusuka au kunyoa.

Vipi kama wataamua kusuka na kunyoa kwa wakati mmoja?

Ndivyo itakavyofanyika..
 
Analysis yako imeenda fyongo kwenye pendekezo #3.
Ukisoma mapendekezo #1&2, unaonyesha kwamba chama kinaridhia wabunge na madiwani kuchukua nafasi zao walizochaguliwa, mpaka hapo hakuna aliyeasi maamuzi ya chama; lakini kwenye pendekezo #3 unasema chama kiwafukuze uanachama kwa kuasi maamuzi ya chama!!
Huo utakuwa ni uonevu wa wazi kwa hao wanachama waliochaguliwa kihalali na wananchi.
 
Hekima ya Mbowe iko mtegoni, namna atakavyoli handle jambo hili huenda akajijenga kisiasa au ndio akajiporomosha kabisaaaaaaaaa kama@Mchagga mwenzie Lyatonga Mrema
 
Back
Top Bottom