Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Anatatua matatizo au anaendeleza kuweka matatizo kwa kuua wazanzibari ambao hawamkubali!Ushauri Muflisi!
Mtoa hoja atambue kuwa Zanzibar na Rais Hussein mwinyi hana cha kupoteza iwapo ACT Wazalendo, haitataka kushirikiana na nayo kwenye serikali ya maridhiano ya kitaifa kwa mujibu wa katiba..