Ushauri wangu kuhusu COVID 19 ni kila mtu akae mguu sawa

Huu ugonjwa kwa ambao tuliupata ukatutandika kisawa sawa tunaelewa shughuli yake. Ukipona ni kumshukuru Mungu, kwa kweli.
 
Mzee wangu anasumbuliwa na Mapafu kubana aisee mpaka sasa anapumulia mashine sasa dah sijui ni covid kulaleki yaani anaumwa balaaa sasa yeye yupo kitandani tu hata mazoezi hafanyi
Mheshimiwa, kama anaweza kuinuka mshikilie atembee tembee hapo nje, kama unakaa ghorofani aende japo bacony mara kumi asb mchan jion na usiku. Nimeuguza ndugu zangu zoezi ilikuwa lazima; wanatoka nje ya nyumba (ofcourse iko fenced), wanatembea tulikuwa tunawahesabia kuzunguka nyumba mara mbili mbili asb mchana na jioni, walikuwa wameshaanza kutema mate au makohozi yenye rangi. Ilikuwa inatisha lakin Mungu kawanusuru. kula ilikuwa shida sana ilibidi nurse aje awe anawawekea drip ili angalao kuongeza nguvu mwilini. Hiki kitu ni halisi ndugu zangu. Mungu atuhurumie
 
Hakuna uhakika kwa sababu huyu virus ana strains nyingi. Kama Umepona Strain A na baadaye ukashambuliwa na strain B upo Uwezekwano mkubwa wa kuugua tena kwa sababu kinga ya strain A Siyo lazima ikukinge na strain B. Elewa pia kwamba immunity ya corona haizidi mwaka mmoja, kwa hiyo ukipona strain A utakuwa na kinga ya mwaka mmoja tu, baada ya ya mwaka mmoja anaweza kukushambulia tena. Ninasema uongo ndugu zaaanguuuuuu
Vipi mtu mwenye covid-19 akirecover kuna chance ya kuja kuupata tena huo ugonjwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom