Ushauri wangu kuhusu COVID 19 ni kila mtu akae mguu sawa

Mallia

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
437
1,532
Ushauri wangu kutoka South Africa ambapo nimepata experience kubwa ya huu ugonjwa na mimi nikiwa ni mhanga wa huu ugonjwa ni kwamba hakuna aliye salama na unamvamia kila mtu kwa mda wake yaani mnaweza familia moja akaupata mtu mmoja au wawili na wengine mkaponea lakini baada ya miezi kadhaa ukawakuta na nyine so hakuna aliye salama, ndio maana ugonjwa ulivyoingia waliosurvive kipindi kile ambao hawakupata hata mafua leo wapo tuliowazika so na wewe unayejiona upo safe leo kesho huijui.

USHAURI WANGU NI HUU

Huu ni moja ya ugonjwa ambao unatisha kweli kweli kwaambao tumeumwa na kupona , ukilemaa unakuondoa, huu ugonjwa ukikupata tiba yake kuu ni mazoezi tu na tiba za asili kama malimao tangawizi na virutubisho vingine ila mazoezi ndio kiboko ya huu ugonjwa, yaani mimi nilipona kwa ajili ya mazoezi , mapafu yalishaanza kubana na pumzi kukata nikapambana na mazoezi na ukakimbia wenyewe.

Huu ugonjwa ukisema ukimbilie kitandani utajihisi ndio unaenda kupona kumbe ndio unajichimbia kaburi na kuwapa virus mlango wa kushambulia mapafu yako, ukifanya mazoezi utajiona kama ndio unakufa lakini ndio unaenda kupona, tafuta uwanja tembea kimbia, toa jasho la kutosha mapafu yatafunguka yenyewe na kinga itapata nguvu ya kuuwa hao virus wote na mwili utarecover haraka kuliko yule mtu anayejilaza kitandani.

Na ndio maana hadi sasa hakuna wanamichezo au watu wamazoezi waliopoteza maisha kutokana na huu ugonjwa kama hamniamini chunguzeni wanamichezo wote na watu wa mazoezi waliopata huu ugonjwa leo hii wapo katika hali gani.

Cha msingi kila mtu ajiandae kwa lolote litakalotokea awe tayari kupambana hizi barakoa tunavaa tu lakini usalama wake sio wa asilimia miamoja lolote linaweza kutokea.
 
Hivi mkuu dalili zake kuu hasa ni zipi?Kwa sababu sisi hapa Tanzania kupata vipimo ni ngumu!Nina kikohozi kikavu hapa ila sasa nashindwa kujua kama ndiyo wenyewe ili nianze kuuadhibu kwa sababu mbinu zote tayari ninazo mkononi.
Kwa experiece yangu huu ugonjwa wengi hawapati kikohozi

Unaanza mafua mepesi then homa kali au homa inakuja na kupotea joto linapanda na kushuka, linapanda na kushuka, then uwezo wa kunusa unapotea kabisa hata mtu apike pilau hauhisi chochote baada ya hapo ndio mapafu yanaanza kubana , na sehem za mwili kufa ganzi kama stroke hivi maana virus hawa wana tabia ya kugandisha dam
 
Kwa experiece yangu huu ugonjwa wengi hawapati kikohozi

Unaanza mafua mepesi then homa kali au homa inakuja na kupotea joto linapanda na kushuka, linapanda na kushuka, then uwezo wa kunusa unapotea kabisa hata mtu apike pilau hauhisi chochote baada ya hapo ndio mapafu yanaanza kubana , na sehem za mwili kufa ganzi kama stroke hivi maana virus hawa wana tabia ya kugandisha dam
Aisee!
 
Kwa experiece yangu huu ugonjwa wengi hawapati kikohozi

Unaanza mafua mepesi then homa kali au homa inakuja na kupotea joto linapanda na kushuka, linapanda na kushuka, then uwezo wa kunusa unapotea kabisa hata mtu apike pilau hauhisi chochote baada ya hapo ndio mapafu yanaanza kubana , na sehem za mwili kufa ganzi kama stroke hivi maana virus hawa wana tabia ya kugandisha dam
Mkuu wewe ulipata dalili zote hizi?
 
niliupata ule wa kwanza ,nilibanwa usiku wa saa8, nikaamka nikaoga nikaanza kunywa maji ya vuguvugu ,nikajitahidi nisilale mpaka asubuhi, asubuhi nikaingia youtube na ku search namna ya kutibu corona nyumbani nikakuta kuna daktari amesema "CORONA INAPENDA MTU ALIYELALA NA AMBAYE HAUCHANGAMSHI MWILI WAKE ,MAZOEZI YA NUSU SAA TU KWA SIKU YANAWEZA KUKUPONYA" , hapohapo nikaenda kuazima jembe na koleo, nikaanza kuchimba shimo la takataka nyumbani kwangu, nikachimba shimo mpaka urefu wa kifua changu, siku hii ikaisha huku najisikia afadhari (kumbuka siwezi kunywa malimao na tangawizi kwasababu ya vidonda vya tumbo).

Kesho yake nilipoamka nikawaita mafundi wanijengee ukuta nikaanza kuwasaidia kubeba matofali na kuchanganya udongo.. kesho yake nikaamka vizuri kabisa.

lakini kumbuka muda huu wote nilikuwa najifukiza na kunywa dawa inaitwa mvumbasha na majani ya mpera..
 
niliupata ule wa kwanza ,nilibanwa usiku wa saa8, nikaamka nikaoga nikaanza kunywa maji ya vuguvugu ,nikajitahidi nisilale mpaka asubuhi, asubuhi nilipoamka tu nikaingia youtube na ku search namna ya kutibu corona nyumbani nikakuta kuna daktari amesema "CORONA INAPENDA MTU ALIYELALA NA AMBAYE HAUCHANGAMSHI MWILI WAKE ,MAZOEZI YA NUSU SAA TU KWA SIKU YANAWEZA KUKUPONYA" , hapohapo nikaenda kuazima jembe na shoka, nikaanza kuchimba shimo la takataka nyumbani kwangu, nikachimba shimo mpaka urefu wa kifua changu, siku hii ikaisha huku najisikia afadhari (kumbuka siwezi kunywa malimao na tangawizi kwasababu ya vidonda vya tumbo)... kesho yake nilipoamka nikawaita mafundi wanijengee ukuta nikaanza kuwasaidia kubeba matofali na kuchanganya udongo.. kesho yake nikaamka vizuri kabisa..
lakini kumbuka muda huu wote nilikuwa najifukiza na kunywa dawa inaitwa mvumbasha na majani ya mpera..
Mkuu haukuwaonea huruma mafundi maana umepiga nao mzigo kwa ukaribu....Ila shukrani kwa sharing info inasaidia sana watu kupata elimu.
 
niliupata ule wa kwanza ,nilibanwa usiku wa saa8, nikaamka nikaoga nikaanza kunywa maji ya vuguvugu ,nikajitahidi nisilale mpaka asubuhi, asubuhi nilipoamka tu nikaingia youtube na ku search namna ya kutibu corona nyumbani nikakuta kuna daktari amesema "CORONA INAPENDA MTU ALIYELALA NA AMBAYE HAUCHANGAMSHI MWILI WAKE ,MAZOEZI YA NUSU SAA TU KWA SIKU YANAWEZA KUKUPONYA" , hapohapo nikaenda kuazima jembe na shoka, nikaanza kuchimba shimo la takataka nyumbani kwangu, nikachimba shimo mpaka urefu wa kifua changu, siku hii ikaisha huku najisikia afadhari (kumbuka siwezi kunywa malimao na tangawizi kwasababu ya vidonda vya tumbo)... kesho yake nilipoamka nikawaita mafundi wanijengee ukuta nikaanza kuwasaidia kubeba matofali na kuchanganya udongo.. kesho yake nikaamka vizuri kabisa..
lakini kumbuka muda huu wote nilikuwa najifukiza na kunywa dawa inaitwa mvumbasha na majani ya mpera..
Dah. Hukuwaambukiza mafundi wa watu?
 
Dalili zinatofautiana toka mtu na mtu,lkn dalili common inayosemwa sana ni kubanwa kifua,kukosa Uhuru wa kupumua na uchovu
Hivi mkuu dalili zake kuu hasa ni zipi?Kwa sababu sisi hapa Tanzania kupata vipimo ni ngumu!Nina kikohozi kikavu hapa ila sasa nashindwa kujua kama ndiyo wenyewe ili nianze kuuadhibu kwa sababu mbinu zote tayari ninazo mkononi.
 
Ulichokosea kwenye maelezo yako ni kutaja mazoezi,tiba rishe na dawa zingine za asili.
Kuna WHO wa Buza kwa mpalange wanaoji izo dawa za asili zimefanyiwa tafiti na nani?
Wanazipinga na kukatisha watu tamaa wasizitumie.
 
Ushauri wangu kutoka South Africa ambapo nimepata experience kubwa ya huu ugonjwa na mimi nikiwa ni mhanga wa huu ugonjwa ni kwamba hakuna aliye salama na unamvamia kila mtu kwa mda wake yaani mnaweza familia moja akaupata mtu mmoja au wawili na wengine mkaponea lakini baada ya miezi kadhaa ukawakuta na nyine so hakuna aliye salama, ndio maana ugonjwa ulivyoingia waliosurvive kipindi kile ambao hawakupata hata mafua leo wapo tuliowazika so na wewe unayejiona upo safe leo kesho huijui

USHAURI WANGU NI HUU

Huu ni moja ya ugonjwa ambao unatisha kweli kweli kwaambao tumeumwa na kupona , ukilemaa unakuondoa, huu ugonjwa ukikupata tiba yake kuu ni mazoezi tu na tiba za asili kama malimao tangawizi na virutubisho vingine ila mazoezi ndio kiboko ya huu ugonjwa, yaani mimi nilipona kwa ajili ya mazoezi , mapafu yalishaanza kubana na pumzi kukata nikapambana na mazoezi na ukakimbia wenyewe

Huu ugonjwa ukisema ukimbilie kitandani utajihisi ndio unaenda kupona kumbe ndio unajichimbia kaburi na kuwapa virus mlango wa kushambulia mapafu yako, ukifanya mazoezi utajiona kama ndio unakufa lakini ndio unaenda kupona, tafuta uwanja tembea kimbia, toa jasho la kutosha mapafu yatafunguka yenyewe na kinga itapata nguvu ya kuuwa hao virus wote na mwili utarecover haraka kuliko yule mtu anayejilaza kitandani

Na ndio maana hadi sasa hakuna wanamichezo au watu wamazoezi waliopoteza maisha kutokana na huu ugonjwa kama hamniamini chunguzeni wanamichezo wote na watu wa mazoezi waliopata huu ugonjwa leo hii wapo katika hali gani

Cha msingi kila mtu ajiandae kwa lolote litakalotokea awe tayari kupambana hizi barakoa tunavaa tu lakini usalama wake sio wa asilimia miamoja lolote linaweza kutokea,
Wachezaji wanakuwaje na corona ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom