Ushauri wangu kuhusu Chato. Serikali izingatie haya...

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,410
Nimeangalia kwa kina mji wa Chato.nimeona Serikali ifikirie mambo haya.

1. Chato liwe Jiji

2. Chato kujengwe uwanja mkubwa wa mpira wa kimataifa

3. Chato ipelekwe Mbuga..ikiwezekana Serengeti ihamishiwe Chato.

4. Ijengwe Ikulu kubwa Chato

5. Bunge lihamishiwe Chato naona kama kumekaa vizuri zaidi kuliko Dodoma.

6. Ijengwe bandari kubwa ukanda wa Afrika Mashariki.

7. Iunganisjwe bahati hadi chato mameli ya ukweli yawe yanafika toka ulimwenguni.

8. Kila shirika la serikali na binafsi lilazimishwe kuweka makao makuu chato.

9. Kujengwe hospitali na chuo kikuu kikubwa kabisa.

10. Uwanja wa ndege wa Kimataifa ukasimikwe pale.

Haya ndiyo ambayo naona ni mambo ya msingi kwa sasa ili tuendelee kiuchumi.
 
Na makao makuu ya yanga yahamishiwe CHATO maana pale jangwani ni hafifu sana na hapana hadhi ya kua makuu ya wapinzani wa WABABE WA MSIMBAZI
 
Back
Top Bottom