Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,406
- 14,169
Habari zenu wanajukwaa!
Haya ni maumivu makubwa sana kwa umma sijui ni private issue ila ninaliona kuwa ni janga kubwa sana tuendako.
Yaani nineshangaa sana ajira nafasi 21 kanda ya Engineer two TANROADS, wameitwa kwenye usaili takribani watu 1223 exactly. Hili linaashiria nini?
Kuwa vijana hawana ajira ama wana ajira wasiyoitaka. Ama kweli kaa tayari watu wameshajulikana halafu hawa wote wasumbuke mpaka Dar ni laana sana kwa hao watu na iwatafune mpaka kizazi chao cha NNE.
Nina imani sasa hivi hata huko kwetu Muriba, Keisangora, Nyamwaga, Kimusi, Liwale Ngorongopa, Misasi, Lupaso, Songea walikokuwa wakichunga ng'ombe wamesoma nako jamani sio kama kipindi kile walijazana Wa Tigray tu wakatuamianisha kuwa wao pekee ndo wamesoma.
Haki iwatendekee vijana ambao wazazi wao walicheza ngoma na kuomba taarabu Leo hii wanaitafuta hii ajira. Mana tuliaminishwa kuwa kuna mikoa Iko nyuma kimaendeleo sijui huko Mtama, Ruangwa, Lindi, Mtwara, na kwingineko pia ambako mnakaa mnaaminishwa ivyo.
Wapewe pia nafasi kama watafaulu na ile baba kanituma isiwepo ama kisa MTU amejitolea iwe kigezo.
Haya ni maumivu makubwa sana kwa umma sijui ni private issue ila ninaliona kuwa ni janga kubwa sana tuendako.
Yaani nineshangaa sana ajira nafasi 21 kanda ya Engineer two TANROADS, wameitwa kwenye usaili takribani watu 1223 exactly. Hili linaashiria nini?
Kuwa vijana hawana ajira ama wana ajira wasiyoitaka. Ama kweli kaa tayari watu wameshajulikana halafu hawa wote wasumbuke mpaka Dar ni laana sana kwa hao watu na iwatafune mpaka kizazi chao cha NNE.
Nina imani sasa hivi hata huko kwetu Muriba, Keisangora, Nyamwaga, Kimusi, Liwale Ngorongopa, Misasi, Lupaso, Songea walikokuwa wakichunga ng'ombe wamesoma nako jamani sio kama kipindi kile walijazana Wa Tigray tu wakatuamianisha kuwa wao pekee ndo wamesoma.
Haki iwatendekee vijana ambao wazazi wao walicheza ngoma na kuomba taarabu Leo hii wanaitafuta hii ajira. Mana tuliaminishwa kuwa kuna mikoa Iko nyuma kimaendeleo sijui huko Mtama, Ruangwa, Lindi, Mtwara, na kwingineko pia ambako mnakaa mnaaminishwa ivyo.
Wapewe pia nafasi kama watafaulu na ile baba kanituma isiwepo ama kisa MTU amejitolea iwe kigezo.