Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,975
Mbona washangaaAseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona washangaaAseeee
Nikikumbuka viuno vyako kitandani nabaki nakushangaa tuuMbona washangaa
yah mkuuAusio
Nikikumbuka viuno vyako kitandani nabaki nakushangaa tuu
ama hakika, wakubwa tunafaidi utamu.Eeh baby ni kwa ajili yako
Huwa wanapenda kuuliza maswali kama haya... Unakuta m-baya alafu umri ni zaidi ya miaka 28Mwanamke mbaya unamtambuaje?
Kabisa kabisaama hakika, wakubwa tunafaidi utamu.
Aseeeeeeeee!!
Mimi ndmi.
Niite DAKTARI WA MANESI.
EEEbanaae! Comrade kama comrade nasemaje! Nyie wanawake wabaya ambao hamna mvuto mko mko tuu kama sufuria ya ugali, tafuteni sana pesa maana ndio itakayowapa credit aseeee!
utakuta mwanamke wakawaidaaaa, sura hamna, tako flat,rangi ndio haieleweki, basi hata awe na pesa imuongezee maksi, unakuta hana hata miaaa asee!
Wewe mwanamke m'baya unapata wapi ujasiri wa kupiga kizinga asee!
Mwanamke kua wa kawaida lakini pesa iwepo, hata nikiwa nawewe najua hutanipiga vizinga sana asee!
Acheni hizo asee, uzuri umenyimwa na pesa unyimwe!!!
Wanawake wabaya tafuteni pesa maseee maana nyie ndio mnaongoza kwa kutupiga vizinga aseeee
Aseeeee!
Ukichimama nchaleeeee!
Ukikaa nchaleeee!
Ukichuchumaa nchaleeeeeeee!
Wewe tuu!
Nyie huwa hamtaki watu.Mwanaume sura ka umetoka vitani..halafu pesa hutafuti
Hata sisi hatuwataki vilevile
Duuhh! Kabila gani hako aseewMkuu usiseme hivyo, Mimi nimepata kademu Fulani hivi sura navumilia ila mwanamke mtamu sijawahi ona!hadi najuta kwanini nisingemjua kabla vyuma havijakaza
Mwanaume sura ka umetoka vitani..halafu pesa hutafuti
Hata sisi hatuwataki vilevile
Kwani wewe ni m'baya?Hunitaki si uende
Mzuri Yesu tuKwani wewe ni m'baya?