Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
Dah Smile...naona umeuchukulia huu ushauri ulitolea kama fedheha kwa wanawake...kumbuka maudhui ya ushauri yamekuja baada ya tukio zima lililotokea. hakutoa huu ushauri kwa nia mbaya..kikubwa hapa ni kumpongeza kwa ujasiri wake na utu na moyo wa huruma.ondoa jazba.
Kwani mwanaume akizimia inakuaje hzo ni ajali tu na yaweza mtokea hata mwanaume
anzeni nyie kutembea na kanga
upuuuzi tu huo