sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,072
- 7,442
Hayo madeni huwa ni yakutunga tu, au mwingine anakopa kweli lkn urejeshaji wake ni kupiga mizinga tu kwa kila yeyote atakayepita usoni, wakiona nguo nzuri anachukua tu atakayeilipa hiyo nguo hamjui.Dawa ya wanawake wadangaji ni pale anapokupiga mzinga unamuacha na kumblock pale pale wala usimpe mda wa kupumua na kukuletea mzigo wake wa matatizo. Kumbuka madeni aliyonayo kajipa mwenyewe kwa faida yake, akushirikishe wewe kama nani? Pia ukumbuke, licha ya wewe, kuna midume mingine 9 inamsugua, kama asingekupata wewe angeenda kuomba hizo hela wapi? Nakushauri, kama utapata demu dizaini hii mpige vichwa na magumi umshikishe adabu.