Lundavi
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 327
- 320
Habari! Kama ilivyo mada tajwa hapo juu.
Kama mjuavyo ujenzi ni gharama sana hasa ukifuata kanuni zote za ujenzi. Binafsi nataka kujenga lakini katika hesabu zangu za kusimamisha boma, nimekutana na gharama ya ufungaji wa linta hasa ukizingatia bei ya nondo, Kokoto na cement.
Kutokana na bajeti yangu kuwa finyu nafikiria kuachana na linta ila niwe na matumizi ya cementi sehemu kubwa ya boma la nyumba yangu. Tafadhali naomba uzoefu katika hili najua kuna waliotumia hii mbinu.
Katika majibu yako ningeomba nifahamishwe juu ya;
i. Urefu wa kimo cha ukuta kiwe na kipimo kipi?
ii. Madirisha yawe na kipimo cha feet ngapi?(hasa kimo).
iii. Maeneo maalum ya kuta ya kutumia cement badala ya tope.
Nakaribisha mawazo mengine pia ambayo yatasaidia. Lengo ni kupunguza gharama ya linta ila nyumba yangu iwe angalau imara.
Natanguliza shukrani.
Kama mjuavyo ujenzi ni gharama sana hasa ukifuata kanuni zote za ujenzi. Binafsi nataka kujenga lakini katika hesabu zangu za kusimamisha boma, nimekutana na gharama ya ufungaji wa linta hasa ukizingatia bei ya nondo, Kokoto na cement.
Kutokana na bajeti yangu kuwa finyu nafikiria kuachana na linta ila niwe na matumizi ya cementi sehemu kubwa ya boma la nyumba yangu. Tafadhali naomba uzoefu katika hili najua kuna waliotumia hii mbinu.
Katika majibu yako ningeomba nifahamishwe juu ya;
i. Urefu wa kimo cha ukuta kiwe na kipimo kipi?
ii. Madirisha yawe na kipimo cha feet ngapi?(hasa kimo).
iii. Maeneo maalum ya kuta ya kutumia cement badala ya tope.
Nakaribisha mawazo mengine pia ambayo yatasaidia. Lengo ni kupunguza gharama ya linta ila nyumba yangu iwe angalau imara.
Natanguliza shukrani.