assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Nafikiri sasa imefika wakati wabunge wapimwe iq zao kabla ya kupitishwa kugombea, bunge hili lina watu wengi wana upeo mdogo sana wa kuchambua ,mambo naona wakati muafaka umefika kwani bila hivo tutakuwa na wabunge mizigo