Ushauri: Wabunge wamchague Spika asiyetokana na chama

Mbogi

JF-Expert Member
Oct 10, 2021
675
820
Kutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.

Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.

Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
 
Hiyo katiba inasema hivyo au ni mawazo yako tuu. Maana spika ni lazima awe mbunge
Katiba inasema hivyo ndugu.
Ibara ya 84 (1)
Kutakuwa na Spika wa bunge ambaye atachaguliwa na wabunge kutoka miongoni mwa watu ambao ni wabunge au mwenye sifa za kuwa mbunge; atakuwa ndiye kiongozi wa bunge na atawakilisha bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya bunge.
 
Katiba inasema hivyo ndugu.
Ibara ya 84 (1)
Kutakuwa na Spika wa bunge ambaye atachaguliwa na wabunge kutoka miongoni mwa watu ambao ni wabunge au mwenye sifa za kuwa mbunge; atakuwa ndiye kiongozi wa bunge na atawakilisha bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya bunge.
Sasa mleta mada anamaanisha spika asie na chama ndio apigiwe kura ndo maana nikamuuliza hiyo katiba inasema hivo???spika asie na chama???rejea uzi wake hapo juu soma vizuri utamuelewa
 
Kutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.

Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.

Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
CCM itaweka mapandikizi tupu kama ilivyo mahakamani, tume ya uchaguzi na polisi
 
Naona orodha ya maspika walio mtangulia Ndugai ni wawili walio kuwa katika siasa.
 
wewe unaweza kumuweka adui yako?
Samia ndo anajua Nani atakuwa spika wa bunge
 
Kutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.

Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.

Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
... unamaanisha wakiuke sheria? Haiko hivyo!
 
Lazima upendekezwe na chama chako
Siyo lazima upendekezwe na chama. Upo utaratibu wa mtu kugombea kiti cha Spika hata kama si mwanachama wa chama chochote na wala haitahitajika kudhaminiwa na chama ili mradi tu anazo sifa za kuwa mbunge ambazo zipo katika katiba ibara ya 67(1) isipokuwa (b)
 
Kutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.

Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.

Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Ili iweje? Hawa Wabunge ambao baadhi yao wamo bungeni kwa hadaa? Au wale wapasao kuhakikisha mashirikiano ya mihimili?
 
Siyo lazima upendekezwe na chama. Upo utaratibu wa mtu kugombea kiti cha Spika hata kama si mwanachama wa chama chochote na wala haitahitajika kudhaminiwa na chama ili mradi tu anazo sifa za kuwa mbunge ambazo zipo katika katiba ibara ya 67(1) isipokuwa (b)
Okey mkuu
 
Kutokana na namna ambavyo imedhihirika kwamba sasa Spika hawezi kuwa na uhuru wa kuruhusu mijadala yenye afya kwa watanzania ndani ya bunge kwa hofu ya "kushughulikiwa" na chama (kwa vyama vyote) sasa ni muda muafaka kwa wabunge hasa wa CCM walio wengi bungeni kumpigia kura ya Ndiyo mgombea wa kiti cha Spika asiye na chama.

Wakiweza hili litakuwa na faida kubwa sana kwa taifa pia kwa wabunge wenyewe maana nao pia watakuwa huru kuishauri na kuisimamia serikali.

Wito wangu kwa wabunge wote wanaopigania uhuru wa mhimili huu wa bunge na wale wenye uwezo wa kuliongoza bunge ambao si wabunge njia pekee iliyobaki ni hiyo, chonde chonde tuitumie nafasi hii vizuri tutakuwa tumepiga hatua nzuri kuelekea kupata katiba mpya.
Watapigishwa kura ya SIRI lakini iliyoratibiwa kama kwenye Mkutano Mkuu wa Chama.

Matokeo yake huwa 100%
 
Back
Top Bottom