Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
Loo, yaani kuna watu hawajasikia Chadema watafanya nini tofauti na CCM ! Kweli CCM imewapofusha na kuwaziba masikio wengi.Sijadandia bali nauliza swali la msingi kwanini mpewe madaraka wakati hamsemi mtawafanyia nini watanzania?
Duh, yaani bado kuna watu wanaitegemea CCM kubadilika ! Kweli CCM imewapumbaza na kuwalemaza wengi, pole Mdondoaji.Unajua Mag3 ushabiki pembeni watu wanaoisupport Chadema ni watu wasio na chama chochote je nikuulize ikija kutokea CCM wakabadilika mmeshajiandaa?