Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
Natoa ushauri muhimu kwa chama cha chadema kujenga hoja nzuri kwa watanzania kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa vile wameonyesha kutokuwa na ubinafsi. Tunataka vitendo si maneno tu na huu ni ushauri wangu binafsi kwenu wabunge kama mna uchungu na matatizo ya nchi hii.
Milioni 90 ambazo kila Mbunge amepata kimkopo kununua magari nawashauri kwamba
65 - 70% ya pesa hizo kwa kila Mbunge wa Chadema wachange na kununulia mitambo ya kufua umeme kwa pamoja na pesa hizo warejeshewe kwa utaratibu maalum watakaokubaliana baada ya umeme kuanza uzalishaji. Chadema ina wabunge karibu 40 wanaweza nunua mitambo hiyo ya umeme haraka na hivyo watakukwa wamejenga hoja ya msingi Kwa watanzania kwamba wanauchungu na nchi hii. Na kama kuna wabunge wengine wa upinzani wanaunga mkono hoja hiyo mwaridhie washiriki kwani ndio ushirikiano tunaotaka
Kumbuka Wabunge wa UK walifanya vivyo hivyo kunusuru bajeti ya nchi walipoingia madarakani.
Wanajamii Forums mnaonaje?
Dada Regina Mtema tafadhali peleka ujumbe huo kwa Wabunge wenzako, na walio tayari wafanye hivyo kwa moyo wa uzalendo.
Napatikana: sndoyela@yahoo.com
Milioni 90 ambazo kila Mbunge amepata kimkopo kununua magari nawashauri kwamba
65 - 70% ya pesa hizo kwa kila Mbunge wa Chadema wachange na kununulia mitambo ya kufua umeme kwa pamoja na pesa hizo warejeshewe kwa utaratibu maalum watakaokubaliana baada ya umeme kuanza uzalishaji. Chadema ina wabunge karibu 40 wanaweza nunua mitambo hiyo ya umeme haraka na hivyo watakukwa wamejenga hoja ya msingi Kwa watanzania kwamba wanauchungu na nchi hii. Na kama kuna wabunge wengine wa upinzani wanaunga mkono hoja hiyo mwaridhie washiriki kwani ndio ushirikiano tunaotaka
Kumbuka Wabunge wa UK walifanya vivyo hivyo kunusuru bajeti ya nchi walipoingia madarakani.
Wanajamii Forums mnaonaje?
Dada Regina Mtema tafadhali peleka ujumbe huo kwa Wabunge wenzako, na walio tayari wafanye hivyo kwa moyo wa uzalendo.
Napatikana: sndoyela@yahoo.com