USHAURI: Wabunge wa CHADEMA wanaweza nunua mitambo ya umeme

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,886
6,883
Natoa ushauri muhimu kwa chama cha chadema kujenga hoja nzuri kwa watanzania kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa vile wameonyesha kutokuwa na ubinafsi. Tunataka vitendo si maneno tu na huu ni ushauri wangu binafsi kwenu wabunge kama mna uchungu na matatizo ya nchi hii.

Milioni 90 ambazo kila Mbunge amepata kimkopo kununua magari nawashauri kwamba
65 - 70% ya pesa hizo kwa kila Mbunge wa Chadema wachange na kununulia mitambo ya kufua umeme kwa pamoja na pesa hizo warejeshewe kwa utaratibu maalum watakaokubaliana baada ya umeme kuanza uzalishaji. Chadema ina wabunge karibu 40 wanaweza nunua mitambo hiyo ya umeme haraka na hivyo watakukwa wamejenga hoja ya msingi Kwa watanzania kwamba wanauchungu na nchi hii. Na kama kuna wabunge wengine wa upinzani wanaunga mkono hoja hiyo mwaridhie washiriki kwani ndio ushirikiano tunaotaka

Kumbuka Wabunge wa UK walifanya vivyo hivyo kunusuru bajeti ya nchi walipoingia madarakani.

Wanajamii Forums mnaonaje?

Dada Regina Mtema tafadhali peleka ujumbe huo kwa Wabunge wenzako, na walio tayari wafanye hivyo kwa moyo wa uzalendo.

Napatikana: sndoyela@yahoo.com
 
Nashangaa mamilioni ya pesa wanazopewa Wabunge kununua magari na huenda sio wote wanaotaka kuchukua mikopo hiyo.
Pesa hizo zingeelekezwa kununulia mitambo ya umeme kupunguza makali ya mgao lingekuwa jambo la busara zaidi.
 
Nashangaa mamilioni ya pesa wanazopewa Wabunge kununua magari na huenda sio wote wanaotaka kuchukua mikopo hiyo.
Pesa hizo zingeelekezwa kununulia mitambo ya umeme kupunguza makali ya mgao lingekuwa jambo la busara zaidi.

Mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gasi ni zaidi ya shilingi billioni 300, jumla ya mkopo kwa wabunge wote ni bilioni 27 hiyo tofauti ya bilioni 273 zitatoka wapi?
 
wazo zuri lakini naomba niongezee kwamba instead of wabunge kuchanga wananchi tuchange, wananchi milioni 30 wakichangia buku kila mmoja kesho tutakuwa na bilioni 3, najua wote wahatachangia lakini wako wataochangia zaidi ya buku, itakuwa poa wabunge wa chadema wakajifunga mkanda tukaenda nao sawa katika hili, kama tulivochangia kampeni tunaweza kuchagia ununuzi wa mitambo
 
wazo zuri lakini naomba niongezee kwamba instead of wabunge kuchanga wananchi tuchange, wananch milioni 30 wakichangia buku kila mmoja kesho tutakuwa na bilioni 3, najua wote wahatachangia lakini wako wataochangia zaidi ya buku, itakuwa poa wabunge wa chadema wakajifunga mkanda tukaenda nao sawa katika hili, kama tulivochangia kampeni tunaweza kuchagia ununuzi wa mitambo
gongo nuksi!
 
Nashangaa mamilioni ya pesa wanazopewa Wabunge kununua magari na huenda sio wote wanaotaka kuchukua mikopo hiyo.
Pesa hizo zingeelekezwa kununulia mitambo ya umeme kupunguza makali ya mgao lingekuwa jambo la busara zaidi.
Wivu wa kike na mawazo yako mafupi ndo vinakudanganya. Je watawatumikia wanachi kwa bajaj???
 
wazo zuri lakini naomba niongezee kwamba instead of wabunge kuchanga wananchi tuchange, wananchi milioni 30 wakichangia buku kila mmoja kesho tutakuwa na bilioni 3, najua wote wahatachangia lakini wako wataochangia zaidi ya buku, itakuwa poa wabunge wa chadema wakajifunga mkanda tukaenda nao sawa katika hili, kama tulivochangia kampeni tunaweza kuchagia ununuzi wa mitambo

Naunga mkono wazo lako.
Operation Sangara iende sambamba na harambee ya kuchanga pesa za kununulia mtambo wa kufua umeme.
Kwa vile uzalishaji umeme ni investment, wanaochangia watarudishiwa pesa zao kwa utaratibu wa mikopo baada ya kutengamaa umeme kuingia grid ya taifa.
Wananchi wana pesa ila kinachokosekana ni organization.
 
wazo zuri lakini naomba niongezee kwamba instead of wabunge kuchanga wananchi tuchange, wananchi milioni 30 wakichangia buku kila mmoja kesho tutakuwa na bilioni 3, najua wote wahatachangia lakini wako wataochangia zaidi ya buku, itakuwa poa wabunge wa chadema wakajifunga mkanda tukaenda nao sawa katika hili, kama tulivochangia kampeni tunaweza kuchagia ununuzi wa mitambo
Hii nzuri mkuu!
 
Nategemea Viongozi wa Chadema hupita hapa Jamii forums bora waangalie maoni haya na kama wanaona yanafaa basi wayafanyie kazi.

Action speaks louder than words
 
Naomba kutofautiana. Chadema wapewe hela za makusanyo ya kodi (TRA) kwa miezi miwili tu. Wataleta mtambo.
 
Natoa ushauri muhimu kwa chama cha chadema kujenga hoja nzuri kwa watanzania kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa vile wameonyesha kutokuwa na ubinafsi. Tunataka vitendo si maneno tu na huu ni ushauri wangu binafsi kwenu wabunge kama mna uchungu na matatizo ya nchi hii.

Milioni 90 ambazo kila Mbunge amepata kimkopo kununua magari nawashauri kwamba
65 - 70% ya pesa hizo kwa kila Mbunge wa Chadema wachange na kununulia mitambo ya kufua umeme kwa pamoja na pesa hizo warejeshewe kwa utaratibu maalum watakaokubaliana baada ya umeme kuanza uzalishaji. Chadema ina wabunge karibu 40 wanaweza nunua mitambo hiyo ya umeme haraka na hivyo watakukwa wamejenga hoja ya msingi Kwa watanzania kwamba wanauchungu na nchi hii. Na kama kuna wabunge wengine wa upinzani wanaunga mkono hoja hiyo mwaridhie washiriki kwani ndio ushirikiano tunaotaka

Kumbuka Wabunge wa UK walifanya vivyo hivyo kunusuru bajeti ya nchi walipoingia madarakani.

Wanajamii Forums mnaonaje?

Dada Regina Mtema tafadhali peleka ujumbe huo kwa Wabunge wenzako, na walio tayari wafanye hivyo kwa moyo wa uzalendo.

Napatikana: sndoyela@yahoo.com

Ni wazo nzuri lakini tuangalie upande wa siasa utakuwa je? Msije mkakiua chama kwa kitu ambacho kinaweza kujeuza imani za watu haraka watakapoanza kuwashambulia Chadema japokuwa watakuwa wamefanya kwa imani nzuri, lazima muangalie na upana wake. Ningeshauri kama linawezekana lishugulikiwe kikanda kutokana na watumiaji hii kurugenzi iliyopo ivunjwe kabla ya yote. Wizara ibaki ikisimamia kikanda hapo hata serikali itapata mapato yake na watakuwa karibu na wananchi zaidi. Hapo ufanisi utakuwepo na unaweza kumwajibisha mtu ambae sio mtendaji. Lakini mnafikiri serikali hawana hela za kununua hiyo mitambo au ni kupeana kazi tu na ushikaji umezidi. Hii longolongo isingekuwepo kama serikali ingekuwa na utayari wa kulimaliza. Sema ile ni sehemu ya wakubwa.
 
wazo zuri lakini naomba niongezee kwamba instead of wabunge kuchanga wananchi tuchange, wananchi milioni 30 wakichangia buku kila mmoja kesho tutakuwa na bilioni 3, najua wote wahatachangia lakini wako wataochangia zaidi ya buku, itakuwa poa wabunge wa chadema wakajifunga mkanda tukaenda nao sawa katika hili, kama tulivochangia kampeni tunaweza kuchagia ununuzi wa mitambo

Hii nzuri lakini je hicho kiasi kitatosha? Mimi nadhani maisue kama haya ndiyo ya kuhamasishana kwa nguvu zote na sio kushinda kwenye majukwaa kulalama. tunaomba wataalam wa tafiti wafuatilie hili waone kama tunaweza kufikia lengo. Nauhakika katika suala hili halitokuwa na chama watz wote watalipokea kwa mikono miwili pia nahisi hata gharama zitashuka kwani ni mali ambayo kila mtanzania atakuwa ametoa kiasi chake.
 
Ni wazo nzuri lakini tuangalie upande wa siasa utakuwa je? Msije mkakiua chama kwa kitu ambacho kinaweza kujeuza imani za watu haraka watakapoanza kuwashambulia Chadema japokuwa watakuwa wamefanya kwa imani nzuri, lazima muangalie na upana wake. Ningeshauri kama linawezekana lishugulikiwe kikanda kutokana na watumiaji hii kurugenzi iliyopo ivunjwe kabla ya yote. Wizara ibaki ikisimamia kikanda hapo hata serikali itapata mapato yake na watakuwa karibu na wananchi zaidi. Hapo ufanisi utakuwepo na unaweza kumwajibisha mtu ambae sio mtendaji. Lakini mnafikiri serikali hawana hela za kununua hiyo mitambo au ni kupeana kazi tu na ushikaji umezidi. Hii longolongo isingekuwepo kama serikali ingekuwa na utayari wa kulimaliza. Sema ile ni sehemu ya wakubwa.

watu kama wewe huwa siwapendi, wana mawazo ya kiccm. kinachotakiwa ni kwamba suala la utaifa ndilo linatakiwa liwe mbele sana na si kuanza kuleta mawazo ya kujenga chama.Nchi kwanza inajengwa then vyama.
 
Natoa ushauri muhimu kwa chama cha chadema kujenga hoja nzuri kwa watanzania kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa vile wameonyesha kutokuwa na ubinafsi. Tunataka vitendo si maneno tu na huu ni ushauri wangu binafsi kwenu wabunge kama mna uchungu na matatizo ya nchi hii.

Milioni 90 ambazo kila Mbunge amepata kimkopo kununua magari nawashauri kwamba
65 - 70% ya pesa hizo kwa kila Mbunge wa Chadema wachange na kununulia mitambo ya kufua umeme kwa pamoja na pesa hizo warejeshewe kwa utaratibu maalum watakaokubaliana baada ya umeme kuanza uzalishaji. Chadema ina wabunge karibu 40 wanaweza nunua mitambo hiyo ya umeme haraka na hivyo watakukwa wamejenga hoja ya msingi Kwa watanzania kwamba wanauchungu na nchi hii. Na kama kuna wabunge wengine wa upinzani wanaunga mkono hoja hiyo mwaridhie washiriki kwani ndio ushirikiano tunaotaka

Kumbuka Wabunge wa UK walifanya vivyo hivyo kunusuru bajeti ya nchi walipoingia madarakani.

Wanajamii Forums mnaonaje?

Dada Regina Mtema tafadhali peleka ujumbe huo kwa Wabunge wenzako, na walio tayari wafanye hivyo kwa moyo wa uzalendo.

Napatikana: sndoyela@yahoo.com

Umetumwa? Wat is it abt 90M walizopewa wabunge wote? Y r u keep asking abt chadema MPs should do this/that?? R u their wife/husband??
Ni wivu ulionao au nn...mbona ccm toka 60's walikula hizi hela sijawai kusikia hili wazo lako, ama umezaliwa juzi??

Tuambie jambo kuhusu wabunge wote wafanyeje? Wao cdm wakishanunua mitambo halafu?? Waingie mikataba na tanesco?? In wat terms?? Serikali ya ccm unafikiri ipo ku-support huu ushuzi,au unataka ile kwao...u r dreaming
 
Natoa ushauri muhimu kwa chama cha chadema kujenga hoja nzuri kwa watanzania kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa vile wameonyesha kutokuwa na ubinafsi. Tunataka vitendo si maneno tu na huu ni ushauri wangu binafsi kwenu wabunge kama mna uchungu na matatizo ya nchi hii.

Milioni 90 ambazo kila Mbunge amepata kimkopo kununua magari nawashauri kwamba
65 - 70% ya pesa hizo kwa kila Mbunge wa Chadema wachange na kununulia mitambo ya kufua umeme kwa pamoja na pesa hizo warejeshewe kwa utaratibu maalum watakaokubaliana baada ya umeme kuanza uzalishaji. Chadema ina wabunge karibu 40 wanaweza nunua mitambo hiyo ya umeme haraka na hivyo watakukwa wamejenga hoja ya msingi Kwa watanzania kwamba wanauchungu na nchi hii. Na kama kuna wabunge wengine wa upinzani wanaunga mkono hoja hiyo mwaridhie washiriki kwani ndio ushirikiano tunaotaka

Kumbuka Wabunge wa UK walifanya vivyo hivyo kunusuru bajeti ya nchi walipoingia madarakani.

Wanajamii Forums mnaonaje?

Dada Regina Mtema tafadhali peleka ujumbe huo kwa Wabunge wenzako, na walio tayari wafanye hivyo kwa moyo wa uzalendo.

Napatikana: sndoyela@yahoo.com

Wazo zuri sana kama malengo yangekuwa kama unavyofikiria, ila nasikitikitika tu malengo yao si ya hayo.
 
Nashauri tusitegemee makubwa kupita kiasi kutoka kwa wabunge hawa! (we shouldn't expect too much! Instead of asking what the should do for us, let's join forces to empower them to deliver, instead of kuanza kuwananga nanga bila mantiki! naona tunaelekea kutaka mpaka tugawane nao hadi suti zao!:decision:
 
Hii nzuri lakini je hicho kiasi kitatosha? Mimi nadhani maisue kama haya ndiyo ya kuhamasishana kwa nguvu zote na sio kushinda kwenye majukwaa kulalama. tunaomba wataalam wa tafiti wafuatilie hili waone kama tunaweza kufikia lengo. Nauhakika katika suala hili halitokuwa na chama watz wote watalipokea kwa mikono miwili pia nahisi hata gharama zitashuka kwani ni mali ambayo kila mtanzania atakuwa ametoa kiasi chake.

Msitishwe na fungu la dowans maana wale dowans ni mabeberu, fungu jilo la chadema linatosha kabisa.
 
Lyatonga Mrema alitaka kuleta umeme wa bei poa toka USA, kumbuka jinsi CCM walivyozima mpango huo, licha wawekezaji toka Marekani walishafanya utafiti wao na kukubali kuwekeza.

Kumbuka vitimbi alivyofanyiwa Slaa wakati ameanzisha mradi wa maji kwa wananchi wa jimbo la Mbulu.

Serikali ya ccm sifa yake ni kuona Watanzania wa wanaishi kwenye maisha ya kifukara maisha yao yote.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom