Hii hali ya wabunge wa CHADEMA kutumia muda wao mwingi kwenye majukwaa badala ya kuwawakilisha wananchi bungeni ina sikitisha mno.
Ifike wakati sasa wabunge wa CHADEMA wachague moja, kama ni bunge au majukwaa, kwani huwezi kutumikia vyote hivi kwa wakati mmoja.
Hivi sasa bunge la bajeti linaendelea, bunge hili linahitaji umakini na ufanisi wa wabunge ili michango ya wabunge iwe yenye tija na kujenga wanapo ishauri serikali.
Lakini cha kusikitisha wabunge wa CHADEMA wamekuwa 'bize' kwenye majukwaa, hii ina pelekea wabunge wa CHADEMA kukurupuka kuandaa hotuba mbovu na kusababisha gumzo mara kwa mara pindi wanapo ziwasilisha bungeni hotuba zao.
Hivi sasa wabunge wengi wa CHADEMA wamejikita kutetea wagombea udiwani walio wasimamisha kwenye kata zenye uchaguzi mdogo wa udiwani.
Nitoe rai kwa CHADEMA, ni wakati sasa chama chenu kikomae, inapaswa chama kiwaache wabunge watekeleze majukumu yao ya msingi pindi bunge linapo kuwa hai, na chama kiunde kikosi kazi maalumu kwa ajili ya kampeni, hasa za chaguzi ndogo.
Ifike wakati sasa wabunge wa CHADEMA wachague moja, kama ni bunge au majukwaa, kwani huwezi kutumikia vyote hivi kwa wakati mmoja.
Hivi sasa bunge la bajeti linaendelea, bunge hili linahitaji umakini na ufanisi wa wabunge ili michango ya wabunge iwe yenye tija na kujenga wanapo ishauri serikali.
Lakini cha kusikitisha wabunge wa CHADEMA wamekuwa 'bize' kwenye majukwaa, hii ina pelekea wabunge wa CHADEMA kukurupuka kuandaa hotuba mbovu na kusababisha gumzo mara kwa mara pindi wanapo ziwasilisha bungeni hotuba zao.
Hivi sasa wabunge wengi wa CHADEMA wamejikita kutetea wagombea udiwani walio wasimamisha kwenye kata zenye uchaguzi mdogo wa udiwani.
Nitoe rai kwa CHADEMA, ni wakati sasa chama chenu kikomae, inapaswa chama kiwaache wabunge watekeleze majukumu yao ya msingi pindi bunge linapo kuwa hai, na chama kiunde kikosi kazi maalumu kwa ajili ya kampeni, hasa za chaguzi ndogo.