Ushauri: Wabunge bila kumuondoa Spika/Naibu Spika hamtaheshimika kwa wananchi na hata Rais

Waheshimiwa wabunge mmekuwa mkiburuzwa na kiti cha Spika bila kujua yeye hana chakupoteza 2025. Kwani ni automatic ni mstaafu.

Hivyo anajikomba kwa Rais kuwa mstaafu mtarajiwa mwema huku akiwaharibia ninyi.

Ushauri: Pigeni kura za siri zakutokuwa na Imani na kiti cha Spika/Naibu wake ili Bunge liwe na makali ya kibunge.

Kiti cha Spika kimekuwa kinaongaza kwa ubabe kwa matakwa yake, ipo mifano mingi ambayo inashusha hadhi ya Bunge na Serikali.

Mkifanya hivyo mtakuwa mmefanya jambo la historia kwa manufaa ya nchi.
NB

Angalieni udhaifu wa mawaziri hawa ambao hawajawa msaada ndani ya Bunge na nje ya Bunge.

1. Sheria na Katiba
2. Mwanasheria Mkuu
3. Wizara ya Fedha
4. Wizara ya Afya

Hawa wamekuwa sehemu ya upepo unaelekea wapi wa Rais, ndio maana mitaani ni malalamiko kila siku.

Kazi kwenu wabunge huko majimbo kusikiliza maoni ya wananchi na wanachama ili muwe na msimamo mmoja mnaporudi Bungeni.
Duh...!.
P
 
Back
Top Bottom