kwani hayo yametoka kwa ndugai ?acha uchizi basiMsipopitisha bajeti Bunge Rais anavunja Bunge.Hayo ni majungu?
Huwezi kuona umuhimu wa Bunge kujitegemea siyo lazima uchangie
kwani hayo yametoka kwa ndugai ?acha uchizi basiMsipopitisha bajeti Bunge Rais anavunja Bunge.Hayo ni majungu?
Huwezi kuona umuhimu wa Bunge kujitegemea siyo lazima uchangie
akiliWewe sijui unawaza kwa kutumia kitu gani
Labda useme massaburiakili
usifikiri wewe unaye tumia kwa kutumia makalio(masaburi) siyo wote ni wewe pekeyako unagongwa weweLabda useme massaburi
Duh...!.Waheshimiwa wabunge mmekuwa mkiburuzwa na kiti cha Spika bila kujua yeye hana chakupoteza 2025. Kwani ni automatic ni mstaafu.
Hivyo anajikomba kwa Rais kuwa mstaafu mtarajiwa mwema huku akiwaharibia ninyi.
Ushauri: Pigeni kura za siri zakutokuwa na Imani na kiti cha Spika/Naibu wake ili Bunge liwe na makali ya kibunge.
Kiti cha Spika kimekuwa kinaongaza kwa ubabe kwa matakwa yake, ipo mifano mingi ambayo inashusha hadhi ya Bunge na Serikali.
Mkifanya hivyo mtakuwa mmefanya jambo la historia kwa manufaa ya nchi.
NB
Angalieni udhaifu wa mawaziri hawa ambao hawajawa msaada ndani ya Bunge na nje ya Bunge.
1. Sheria na Katiba
2. Mwanasheria Mkuu
3. Wizara ya Fedha
4. Wizara ya Afya
Hawa wamekuwa sehemu ya upepo unaelekea wapi wa Rais, ndio maana mitaani ni malalamiko kila siku.
Kazi kwenu wabunge huko majimbo kusikiliza maoni ya wananchi na wanachama ili muwe na msimamo mmoja mnaporudi Bungeni.