Ushauri wa viongozi wa Chadema: Kubalini mbaki Jela!, ina faida kwenu kisiasa

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,090
Katika vitu ambavyo utawala huu unaogopa ni
1. Mzungu
2. Mzungu
3. Kukosa sifa na kuacha kutukuzwa

Kimsingi kesi yenu ni kesi ya kisiasa, na walioinfluence kesi yenu na hali hii mliyokuwa nayo leo wana calculations za kisiasa ndani yake.

Waliwafrustrate kwa kuwaweka ndani, kuwasumbua na sasa wanakwenda kuchukua mamilioni ya pesa za bure kutoka mifukoni mwenu(au wanaowachangia) kwa kisingizio cha kulipa faini.

Hata hivyo mimi nina ushauri mmoja kwenu ni ushauri mchungu lakini kama mkiufuata utakuwa na matokeo chanya kwenu, kwa chama chenu na Taifa kiujumla.

KUBALINI MKAE JELA HIYO MIEZI MITANO

Fahamuni kuwa wamewapa miezi mitano kama namna ya kuwashikisha adabu lakini hawakutaka kuwaharibia career yenu ya kisiasa kwa sababu mgefungwa miezi sita na zaidi mgekosa sifa za kugombea ubunge na uraisi mbeleni kwa hiyo wamefanya hivyo ili kukwepa lawama nyingi za wananchi na jumuia ya kimataifa

Wamekupeni faini kwa makusudi kama exit stratergy yao ya kumalizana na hili jambo lakini wakati huohuo wakiwa wamewakamua fedha.

Sasa kinachotakiwa kufanyika hapa ni
1.Nyinyi kubalini kutumikia kifungo, faida ya hii ni kuongeza tension ya kisiasa nchini na kuendelea kuamplify hali mbaya ya uminyaji wa demokrasia nchini kitu kitakachowapa watawala pressure ya kubadili mambo nchini ili waendelee kupata mikopo nafuu na misaada

2. Mkikubali kukaa jela mtauondolea legitimacy uchaguzi unaoimbwa kuwa utakuwa huru na haki, huu uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki wakati washindani wako unewasweka jela

3. In the long run mtaheshimika na umma na international community kama wapigania haki waliowahi kufungwa jela na utawala kidikteta usiopenda demokrasia na hivyo itakupeni mtaji mkubwa wa kisiasa mbeleni. Wakati mwingine Jela kwa mwanasiasa kutokana na mambo ya kisiasa inaongeza CV

4. Mkilipa hela, dola ikanogewa kuwa kumbe kuna uwezekano wa kutengeneza pesa kwa kukamata wapinzani, kuwapiga kesi za kubumbabumba kisha kuwatoza faini nono, huo ndo utakuwa mchezo wao, itakuwa ni extortion technic mpya nchini. Ni kama magaidi tu na michezo yao ya kukidnapp watu na kisha kudai fedha ili wawaachie mateka. Mkiwapa fedha inageuka mchezo wao. Hivyo basi hii modal ya utawala huu ikifanikiwa itakuwa ndo mchezo wao wa kuchukua pesa kutoka kwa washindani wao wa kisiasa, Chadema inayo nafasi ya kuvunja modal hii kwa kutowapa hawa watawala wanachotaka

Faida kubwa ya nyinyi kukubali kukaa jela, ni kuwa mtaendelea kuungwa mkono na umma wa watanzania kwa sacrifice zenu na bila shaka international community itaingilia kati this time na kuweka kibinyo zaidi kitakachopekekea kwenye Tume huru ya uchaguzi au katiba mpya

Ninajua, Ngosha hataki kuescalate situatuon ya sasa, sasa nyinyi msimpe calmness ya kisiasa kwa kuilipa dola yake fedha ya faini.

Nendeni mkatumikie kifungo, ili uwepo wenu jela iwe ngumu kujinadi kuwa anakusudia uchaguzi kuwa huru na fair.

Uchaguzi utakuwaje huru na haki wakati umefunga Top nzima ya uongozi wa chama unachoshindana nacho?

Are you ready to sacrifice Jail term ili uwepo wenu Jela uweze kugenerate bad publicity kwa utawala huu ili ajenda pana ya ukombozi iweze kupatikana kama blessing in disguise?

Viongozi wa Chadema, just think about this!!
 
Ushauri mzuri sana ..Ila Yuko wapi wa kukubali kukaa jela miezi mitano?..
Ndo maana Mandela hakuwa WA kawaida

Yaani kesi hii imetarget core leadership ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama akina Mbowe wangetambua power ya kuwa victim, wangeitumia mno to their advantage maana utawala huu ungethibitishwa namna unavyopondaponda washindani wake, na hii ingeuweka utawala huu katika defensive kwa miezi yote mitano kuelekea uchaguzi mkuu.

Kiufupi utawala huu ungekuwa shamed mno ndani na nje ya nchi kwa kufunga almost uongozi mzima wa chama cha upinzani huku makamu mwenyekiti wa chama hicho akiwa nje akihofia maisha yake baada ya kupigwa risasi 16
 
Sikubaliani na ushauri huu. Kukaa jela hata siku moja siyo kitu kizuri kwa binadamu yeyote. Risk kubwa ni kwamba Magufuli anatumia mawakala gerezani ambao wanaweza kuwawekea sumu wakafa taratibu. Je umeiona hali ya Eric Kabendera? Angalia yukoje baada ya kutoka halafu njoo uandike tena

wakiamua hata kuwawekea huku uraiani kwani inashindikana nini, kwani Mangula kala sumu akiwa jela?

Yeye alipokuwa waziri alipodai amewahi kuwekewa sumu aliwekewa akiwa jela?

Ishu hapa ni kuraise stake za kisiasa ziwe very high kiasi kwamba uwepo wa viongozi wa juu wa chama cha upinzani jela liwe kaa la moto kwa utawala wake.
Kumbuka huyu jamaa anataka sana kurudisha legitimacy yake mbele ya international community ili aweze kupata mikopo na misaada. Hili halitafanikiwa kama hali ya kisiasa nchini itadeteriorate.

Na akina Mbowe wakiraise stake zikawa too high, itakuwa rahisi kwa ajenda ya tume huru ya uchaguzi kufanyiwa kazi la sivyo atapewa kiminyo kama mnangwagwa huko Zimbabwe leo.

Pia kitu kingine ni kuwa akina Mbowe kama watakubali ufungwa huu wa kisiasa itasaidia sana kuharibu legacy ya uongozi ya huyu jamaa, kamwe hawezi kuandikwa vizuri na vizazi vijavyo kwa mtindo wake wa kufungafunga wapinzani wake, hili jambo litataint image yake kwa kiwango kikubwa na hivyo hatofurahi, ndiyo maana akawaa exit strategy ya faini ili awaadhibu kwa kuwakamua fedha, maana anajua watakimbilia option hii.

Bila uchumi mzuri na bila kuongoza kwa siasa nzuri, legacy ya huyu jamaa itakuwa mbovu sana, hilo peke yake itakuwa chachu kwa uongozi wa kisiasa ujao bila kujali chama gani ya kukataa aina ya uongozi wa huyu jamaa. Hilo peke yake itakuwa ni faida kwa Taifa
 
Jiwe atawalisha sumu huko. Miezi 5 inaweza kuleta maafa makubwa maana hapa katikati Jiwe watamshauri hasa Polepole kuwa waue tumalizane nao. Siyo salama kubaki jela.watawaua
 
wakiamua hata kuwawekea huku uraiani kwani inashindikana nini, kwani Mangula kala sumu akiwa jela?

Yeye alipokuwa waziri alipodai amewahi kuwekewa sumu aliwekewa akiwa jela?

Ishu hapa ni kuraise stake za kisiasa ziwe very high kiasi kwamba uwepo wa viongozi wa juu wa chama cha upinzani jela liwe kaa la moto kwa utawala wake.
Kumbuka huyu jamaa anataka sana kurudisha legitimacy yake mbele ya international community ili aweze kupata mikopo na misaada. Hili halitafanikiwa kama hali ya kisiasa nchini itadeteriorate.

Na akina Mbowe wakiraise stake zikawa too high, itakuwa rahisi kwa ajenda ya tume huru ya uchaguzi kufanyiwa kazi la sivyo atapewa kiminyo kama mnangwagwa huko Zimbabwe leo.

Pia kitu kingine ni kuwa akina Mbowe kama watakubali ufungwa huu wa kisiasa itasaidia sana kuharibu legacy ya uongozi ya huyu jamaa, kamwe hawezi kuandikwa vizuri na vizazi vijavyo kwa mtindo wake wa kufungafunga wapinzani wake, hili jambo litataint image yake kwa kiwango kikubwa na hivyo hatofurahi, ndiyo maana akawaoa exit strategy ya faini ili awaadhibu kwa kuwakamua fedha, maana anajua watakimbilia option hii.

Bila uchumi mzuri na bila kuongoza kwa siasa nzuri, legacy ya huyu jamaa itakuwa mbovu sana, hilo peke yake itakuwa chachu kwa uongozi wa kisiasa ujao bila kujali chama gani ya kukataa aina ya uongozi wa huyu jamaa. Hilo peke yake itakuwa ni faida kwa Taifa
Kuwa matyr au shujaa hakufundishwi darasani bali inakuwa kwenye DNA ya mtu tu. Kwa mfano Che Guevara, Nelson Mandela au Martin Luther King Jr. Wamejikuta wana deserve ku sacrifice kwa ajili ya binadamu wengine.

Hata hawa kina Mbowe wame sacrifice lakini siyo kwa kutumia rule ya akina Nelson Mandela walioishi jela miaka 27. Hawa wana approach tofauti na kwa mtazamo wangu inazaa matunda. Surveillance anayoiweka Mmarekani kwa Tanzania siyo ya kitoto. Magufuli ata surrender tu
 
wakiamua hata kuwawekea huku uraiani kwani inashindikana nini, kwani Mangula kala sumu akiwa jela?

Yeye alipokuwa waziri alipodai amewahi kuwekewa sumu aliwekewa akiwa jela?

Ishu hapa ni kuraise stake za kisiasa ziwe very high kiasi kwamba uwepo wa viongozi wa juu wa chama cha upinzani jela liwe kaa la moto kwa utawala wake.
Kumbuka huyu jamaa anataka sana kurudisha legitimacy yake mbele ya international community ili aweze kupata mikopo na misaada. Hili halitafanikiwa kama hali ya kisiasa nchini itadeteriorate.

Na akina Mbowe wakiraise stake zikawa too high, itakuwa rahisi kwa ajenda ya tume huru ya uchaguzi kufanyiwa kazi la sivyo atapewa kiminyo kama mnangwagwa huko Zimbabwe leo.

Pia kitu kingine ni kuwa akina Mbowe kama watakubali ufungwa huu wa kisiasa itasaidia sana kuharibu legacy ya uongozi ya huyu jamaa, kamwe hawezi kuandikwa vizuri na vizazi vijavyo kwa mtindo wake wa kufungafunga wapinzani wake, hili jambo litataint image yake kwa kiwango kikubwa na hivyo hatofurahi, ndiyo maana akawaoa exit strategy ya faini ili awaadhibu kwa kuwakamua fedha, maana anajua watakimbilia option hii.

Bila uchumi mzuri na bila kuongoza kwa siasa nzuri, legacy ya huyu jamaa itakuwa mbovu sana, hilo peke yake itakuwa chachu kwa uongozi wa kisiasa ujao bila kujali chama gani ya kukataa aina ya uongozi wa huyu jamaa. Hilo peke yake itakuwa ni faida kwa Taifa
Hii ilikuwa a very nice strategy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TIMING. MUDA HUU NI WA MUHIMU KUJIPANGA NA KUWEKA MIUNDOMBINU YA KAMPENI NA UCHAGUZI BADALA YA HICHO!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Njia nzuri ya kupata tume huru ya uchaguzi ni Kuudiscredit uchaguzi huu, JPM anatafuta legitimacy ya uchaguzi ili aendelee kupewa mikopo na misaada.
Kwenye public atatangsza uchaguzi huru na haki lakini private atawaminya kama kawaida.

Katika mazingira haya ambayo wasimamia uchaguzi huko majimboni ni wakurugenzi ambao ni makada wa CCM huo uchaguzi ambao Chadema wanakwenda kushiriki ni uchaguzi gani zaidi ya kurubber stamp uchaguzi feki?

Ndiyo maana ni muhimu Chadema wakazidisha pressure kwa serikali hii ya CCM.
Na njia kuu ni kuendelea kuuonyesha ulimwengu jinsi serikali hii ilivyo ridiculous kwa kufunga uongozi mzima wa chama kikuu cha upinzani.
 
Missile of the Nation,
Mtu mzima hatishiwi nyau! Viongozi wa CHADEMA wakivunja sheria tunawatia ndani pumbavu zao! Hata mabeberu wanaokidhamini wakibweka ni kama mbwa koko
Mnawaweka ndani nyie kina nani? Nyie vibwege vya Lumumba mnaoishi kwa dada zenu mnajiona mmewini maisha kwakuwa kila siku mna brashi viatu vya kina Polepole... Eti tunawaweka ndani! Kiss your ass
 
Uchaguzi bado miezi michache mnataka wabaki jela kisa wapate huruma ya mzungu.

Halafu nani afanye kazi yao ya campaign kwenye kutafuta kura? Hiyo ni sawa na kugawa bure ata viti vya ubunge na madiwani ambavyo wangeweza vitetea.
 
Sijaona mwenye ujasiri wa kukaa jela kati yao
Katika vitu ambavyo utawala huu unaogopa ni
1. Mzungu
2. Mzungu
3. Kukosa sifa na kuacha kutukuzwa

Kimsingi kesi yenu ni kesi ya kisiasa, na walioinfluence kesi yenu na hali hii mliyokuwa nayo leo wana calculations za kisiasa ndani yake.

Waliwafrustrate kwa kuwaweka ndani, kuwasumbua na sasa wanakwenda kuchukua mamilioni ya pesa za bure kutoka mifukoni mwenu(au wanaowachangia) kwa kisingizio cha kulipa faini.

Hata hivyo mimi nina ushauri mmoja kwenu ni ushauri mchungu lakini kama mkiufuata utakuwa na matokeo chanya kwenu, kwa chama chenu na Taifa kiujumla.

KUBALINI MKAE JELA HIYO MIEZI MITANO

Fahamuni kuwa wamewapa miezi mitano kama namna ya kuwashikisha adabu lakini hawakutaka kuwaharibia career yenu ya kisiasa kwa sababu mgefungwa miezi sita na zaidi mgekosa sifa za kugombea ubunge na uraisi mbeleni kwa hiyo wamefanya hivyo ili kukwepa lawama nyingi za wananchi na jumuia ya kimataifa

Wamekupeni faini kwa makusudi kama exit stratergy yao ya kumalizana na hili jambo lakini wakati huohuo wakiwa wamewakamua fedha.

Sasa kinachotakiwa kufanyika hapa ni
1.Nyinyi kubalini kutumikia kifungo, faida ya hii ni kuongeza tension ya kisiasa nchini na kuendelea kuamplify hali mbaya ya uminyaji wa demokrasia nchini kitu kitakachowapa watawala pressure ya kubadili mambo nchini ili waendelee kupata mikopo nafuu na misaada

2. Mkikubali kukaa jela mtauondolea legitimacy uchaguzi unaoimbwa kuwa utakuwa huru na haki, huu uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki wakati washindani wako unewasweka jela

3. In the long run mtaheshimika na umma na international community kama wapigania haki waliowahi kufungwa jela na utawala kidikteta usiopenda demokrasia na hivyo itakupeni mtaji mkubwa wa kisiasa mbeleni. Wakati mwingine Jela kwa mwanasiasa kutokana na mambo ya kisiasa inaongeza CV

Faida kubwa ya nyinyi kukubali kukaa jela, ni kuwa mtaendelea kuungwa mkono na umma wa watanzania kwa sacrifice zenu na bila shaka international community itaingilia kati this time na kuweka kibinyo zaidi kitakachopekekea kwenye Tume huru ya uchaguzi au katiba mpya

Ninajua, Ngosha hataki kuescalate situatuon ya sasa, sasa nyinyi msimpe calmness ya kisiasa kwa kuilipa dola yake fedha ya faini.

Nendeni mkatumikie kifungo, ili uwepo wenu jela iwe ngumu kujinadi kuwa anakusudia uchaguzi kuwa huru na fair.

Uchaguzi utakuwaje huru na haki wakati umefunga Top nzima ya uongozi wa chama unachoshindana nacho?

Are you ready to sacrifice Jail term ili uwepo wenu Jela uweze kugenerate bad publicity kwa utawala huu ili ajenda pana ya ukombozi iweze kupatikana kama blessing in disguise?

Viongozi wa Chadema, just think about this!!
 
Back
Top Bottom