Hivi Mkuu umesahau kuwa hao ndo walikuwa wagombea na viongozi wakuu wa UKAWA mwaka 2015 wakati wa uchaguzi? Basi hao ndo wamepelekea migogoro CUF na sasa CHADEMA chama kubwa la matapeli kuanza kuparaganyika.Vipi kuhusu ACT NA CUF?Je,chanzo ni akina lowasa?Hoja yako haina fikra yakinifu hata
punje moja,bali hoja yako imejaa mapokeo ya ushabiki.shabiki yeyote logic kwake ni mwiko.