101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,118
Anasema, "ushauri wangu kwa vijana: Usiwe mfungwa wa vyeti na elimu yako ya darasani usidharau kile kinachoitwa kazi za kawaida au za elimu ndogo.fanya kazi yoyote Ile ilimradi ni ya halali. Utarudi kufanya kazi unayoipenda mara tu utakapokuwa na uhakika wa kula na mahala pa kuishi"
Ali Mufuruki 1958 - 2019.
Ali Mufuruki 1958 - 2019.