shukranGari poa sana, excellent fuel consumption 15-18km/l, engine Cc 1490 na sio 1400.
Halitaki rough roads
ubaya wa sienta ni spare, aisee ikipata shida au(ajali ndogo) utalia!
We Jamaa uliyejaza nissan fuga yako full tank kwa tsh. 85,000 hii ni Id yako ya ngapi?hahahahUnashangaza. Mbona wanasema gari za Toyota spare zake zimezagaa na zinaingiliana.
Labda useme kuwa ubaya wa Sienta ni mlango wa abiria wa ku-slide hivi.
We Jamaa uliyejaza nissan fuga yako full tank kwa tsh. 85,000 hii ni Id yako ya ngapi?hahahah
Mbona watu wanasema Toyota huwa hazisumbui spea..?ubaya wa sienta ni spare, aisee ikipata shida au(ajali ndogo) utalia!
Sikia huyu,Sijawahi kuipenda Sienta. Sina sababu za maana ila Lina show mbaya
Kila MTU ana Uhuru wa kuchagua anachopenda.Sikia huyu,
Nami nikiwa mdau mkubwa wa hii aina ya gari nina uhuru wa kutoa dukuduku langu juu ya comment yakoKila MTU ana Uhuru wa kuchagua anachopenda.
Tena yale macho yake ndo yananiudhi kweli....sijui jamaa walifikiria nn aiseeSijawahi kuipenda Sienta. Sina sababu za maana ila Lina show mbaya
Sienta ni daladala huko Kenya kwa hiyo usivimbe Sana ukijiona mjanjaToyota Sienta # D
Year, 2004
Engine, 1400cc
Milage, 100,000 km
Kuna jamaa anataka kuniuzia kwa 8.0 mil. Naombeni uchambuzi wenu ktk uimara wa gari hii, unywaji wa mafuta, safari ndefu mfano Dar-Dom kama inahimili. Je bei ni reasonable?
Ukiamua kununua usitoe zaidi ya 1.5mToyota Sienta # D
Year, 2004
Engine, 1400cc
Milage, 100,000 km
Kuna jamaa anataka kuniuzia kwa 8.0 mil. Naombeni uchambuzi wenu ktk uimara wa gari hii, unywaji wa mafuta, safari ndefu mfano Dar-Dom kama inahimili. Je bei ni reasonable?