Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Natamaani mwakani niwe diwani kupitia CHADEMA ila aliyepo ni wa CHADEMA na hana mpango wa kutoka.
Natamaani nibaki peke yangu ila sitakuwa na amani ya kutosha maana huu ndio muda wangu kuchangia akili na nguvu zangu kwa taifa langu.
Nafasi CCM ziko bure, situmii fedha zangu, nitalindwa na kuhakikishiwa ushindi!
Wadau mnishauri vizuri naomba. Nisijekuwa Slaa Mwingine, au Lowasa mwingine. Moyo wangu uko CHADEMA
Natamaani nibaki peke yangu ila sitakuwa na amani ya kutosha maana huu ndio muda wangu kuchangia akili na nguvu zangu kwa taifa langu.
Nafasi CCM ziko bure, situmii fedha zangu, nitalindwa na kuhakikishiwa ushindi!
Wadau mnishauri vizuri naomba. Nisijekuwa Slaa Mwingine, au Lowasa mwingine. Moyo wangu uko CHADEMA