MEDICAL RECORDS
New Member
- Apr 15, 2020
- 1
- 0
Habari za mchana wote!
Kuna kaka yangu mmoja tunaheshimiana sana naye , Ana mke wake sasa ndoa imemshinda anataka kumchukua mtoto kutokana na kwamba Hana mahusiano mazuri na huyu mke mke anaishi mwanza na yeye yupo Dodoma.
Lakini mtoto alimpata baada ya kuwa kwenye mahusiano na huyo dada akiwa tayari ana ujauzito huo walikubaliana na huyo dada mtoto akizaliwa awe wake na kweli alilea huo ujauzito na mpaka sasa mtoto ana miaka 4 ila alienda mwanza kuiona familia yake , siku moja akakutana na barua za mke za kuomba rikizo kwenye cheti cha mtoto jina limeandika jina X tofauti na la kwake ndipo ugomvi ulipoanzia, akaamua kuachana na huyo dada ila kuhusu mtoto dada akamwambia kwamba kumchukua mtoto mpaka awe mkubwa.
Je kisheria hiyo imekaaje wakuu?
Nawasilisha.
Kuna kaka yangu mmoja tunaheshimiana sana naye , Ana mke wake sasa ndoa imemshinda anataka kumchukua mtoto kutokana na kwamba Hana mahusiano mazuri na huyu mke mke anaishi mwanza na yeye yupo Dodoma.
Lakini mtoto alimpata baada ya kuwa kwenye mahusiano na huyo dada akiwa tayari ana ujauzito huo walikubaliana na huyo dada mtoto akizaliwa awe wake na kweli alilea huo ujauzito na mpaka sasa mtoto ana miaka 4 ila alienda mwanza kuiona familia yake , siku moja akakutana na barua za mke za kuomba rikizo kwenye cheti cha mtoto jina limeandika jina X tofauti na la kwake ndipo ugomvi ulipoanzia, akaamua kuachana na huyo dada ila kuhusu mtoto dada akamwambia kwamba kumchukua mtoto mpaka awe mkubwa.
Je kisheria hiyo imekaaje wakuu?
Nawasilisha.